Mheshimiwa January Makamba ni kiongozi mbunifu mno mweye kuiona fursa adhimu

Mheshimiwa January Makamba ni kiongozi mbunifu mno mweye kuiona fursa adhimu

Sijawahi kumuamini huyu jamaa hata sku moja, na kila anacho gusa lazima patakua na upigaji.
Lakini ndio vile humwambii maza kitu kuhusu kijana wake pendwa huyo...
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Badala ya kuchukua hela na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano Arusha eti tunakwenda kujenga maghorofa kenya….tena tunakwenda kuiremba kenya kwa kisingizio cha kuwekeza hahaha! Huu ni ujinga kabisa!
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh... tuache kwanza.

2025 Inatakiwa akae benchi.
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Ni wizi kama wizi mwingine
In fact ilipashwa Balozi zoooote zifungwe zibaki 5 North America 1 Europe 1 South/ Central America 1 South & Central Africa 1 East Africa & North 1 period!
 
Timing sahihi ukizingatia Umoja wa Mataifa unapeleka watumishi wake wengi Nairobi
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Mleta hoja ungekuwa na akili timamu usingeandika huu upuuzi!
Katika watu amabao hawajawahi kuwa wabunifu kwa lolote ni huyu makamba wako
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Salam Makamba. Wewe ni mpumbavu na mjinga, unajengaje kiwanja cha jilani na kuacha viwanja vya nyumbani?
 
Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.

Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.

Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.

Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.

Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Iwapo ikiwa sii kamba itakuwa jambo la kheri🤔
 
Back
Top Bottom