Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu......Hiyo mitungi Bure kumpuka kapigs billion 10 sbb walinhnuanmityngi ya Rosatm Aziz wakawapa akina mama wachacheo
[emoji23][emoji23][emoji23]Bongo raha sana, ukipiga B Moja, unatenga milioni 50 ya kuwalipa machawa na waandishi uchwara wakupigie promo mtandaoni mambo yanakaa sawa
Badala ya kuchukua hela na kujenga ukumbi mkubwa wa mikutano Arusha eti tunakwenda kujenga maghorofa kenya….tena tunakwenda kuiremba kenya kwa kisingizio cha kuwekeza hahaha! Huu ni ujinga kabisa!Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.
Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.
Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.
Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Siyo mbayaNaskia harufu ya ufisadi
Mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhh... tuache kwanza.Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.
Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.
Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.
Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Ni wizi kama wizi mwingineWaziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.
Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.
Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.
Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Mwambie ukweli huyu chawa hajielewi!Huyo ni mpigaji tu hana lolote
Atabaki wa kuingizwa ingizwa ili kujaza nafasi zilizo wazi lakini kiuhalisia hastahili kua hata mjumbe wa nyumba 10Mtu mtarajiwa miaka michache ijayo atakosaje maana?
Mleta hoja ungekuwa na akili timamu usingeandika huu upuuzi!Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Kisa niniNi wengi mno hata kama ana gas bado anaitumia kidogo kuliko mkaa. Nyumba nyingi wanatumia mkaa kuliko gas hata kama wana mtungi wa gas.
Huu sio ubunifu?Mleta hoja ungekuwa na akili timamu usingeandika huu upuuzi!
Katika watu amabao hawajawahi kuwa wabunifu kwa lolote ni huyu makamba wako
Mimi sio yeyeNaona Makamba siku hizi husikiki kama ulivyokuwa Wizara ya Nishati mpaka umekuja kujipigia chapuo jf
Hakunilipa hata bukuAmekulipa bei gani kuandika huu uozo..??
Salam Makamba. Wewe ni mpumbavu na mjinga, unajengaje kiwanja cha jilani na kuacha viwanja vya nyumbani?Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.
Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.
Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.
Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.
Iwapo ikiwa sii kamba itakuwa jambo la kheri🤔Waziri huyu kila wizara aitumikiayo huja na maono endelevu na kuacha alama.
Alipokuwa nishati alibuni mambo mengi ikiwa ni pamoja na ugavi wa mitungi ya gesi bure. Gesi ikiisha ni lazima baadhi ya wagaiwa watanunua tena hata ikiwa hawakuwa na utamaduni wa kutumia gesi.
Sasa akiwa waziri wa nje ameibuka na ujenzi wa maghorofa ya serikali Nairobi, kigali, Lusaka, Kinshasa, Tokyo nk.
Miradi hii itakuwa ofisi za ubalozi, makazi ya maafisa wetu huko na sehemu nyingine zitakodiwa na hivyo kuingizia serikali yetu fedha kupitia Foreign ministry.
Ataanza na ujenzi wa majengo pacha Nairobi huku kila ghorofa likiwa na ghorofa 22 na kufanya jumla 44.
Baada ya kukamilika ujenzi ktk miji mikuu tajwa, serikali yetu itapata kodi ya Tsh 34 billion kwa mwaka na itakuwa ikiongezeka kadiri muda uendavyo.
Kongole kwako Mheshimiwa waziri, hakika una maono mno.