Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Magufuli hawezi, kwanza asafifhe mizani, pili arudishe nyumba alizogawa bure. Nadhani raisi ajaye ni Dr. Slaa
Masaburi yupi mkuu, unamaanisha huyu mzee mtaalam wa matusi aliyesema wabunge wa Dar wanafikiria kwa kutumia ------ au Masaburi mwingine? Kama unamaanisha huyo pls niombe radhi. Mimi sio wa namna hiyo na sio mtu wa do or dies politics
mwanzoni alitumwa na Mzee Mkapa akafanya vizuri.Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!
Magufuli alitakiwa sasa awe gerezani Ukonga kwa uhujumu uchumi!Aliwapa nyumba za serikali ndugu zake zilizojengwa na Nyerere kwa mikono yake(Kuna picha maktaba zinaonyesha Nyerere akibeba mchanga kwenye karai kuwapa mafundi akijenga nyumba za Oysterbay)Magufuli ndiye waziri anaye ongoza kwa kuitia hasara serikali((Rejea uamuzi wake alipogoma kutii amri ya mahakama na kubomoa kituo cha mafuta-Mwanza)
Mjadala ni mzuri na muhimu sana, lakini hamjadili jambo hapo naona majungu tu yanatembea hapo. tuelezeni kwanini anafaa/hafai kuwa Rais wetu.
Hebu endeleeni kumchambua maana sie wengine huwa tunamsikia tu kwenye ufunguzi wa ujenzi wa mabarabara.
Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!
anafaa kijiunga na mzee yusufu,alishamalizwa na mwenyekuti wake wa chama.hata wewe unalijua hilo.kwahiyo hatufai.tuambie wewe unayejifanya unamjua
tunataka hoja kwa hoja sio majungu tu ya kumchafua mtu
tuambie wewe unayejifanya unamjua
tunataka hoja kwa hoja sio majungu tu ya kumchafua mtu
Magufuli hafai, mtu wa visasi sana na pia akikujia juu ujue hujatoa cha juu. Bara bara nyingi zipo chini ya viwango lakini hawarudii kuna nini hapo.
Slaa hata akihamia CCM hatakuja kuwa rais wa TanzaniaMagufuli hawezi, kwanza asafifhe mizani, pili arudishe nyumba alizogawa bure. Nadhani raisi ajaye ni Dr. Slaa
Ni bora mzijue kwasababu hao ndio watawatawala.mtake msitakeMkuu unakujaga juu akitajwa urais mtu mwingine zaid ya EL!!! Kwa taarifa yenu watanzania
mpango wetu ni kuliweka pembeni kabisa hili dude linaitwa ccm.so hatuna haja ya kujua sifa
za wagomea wa ccm.
naona umetembelewa na popobawa leo ndo maana hujitambui...nadhani aliwahi kukulala hakukulipa ndo maana unamchukia...
Kwa mtu smart anayemjua Magufuli au anayejua sihasa hawezi kudhubutu hata kufikiria hivyo!!! pale hakuna kitu!anajua kucheza na media tu full stop!!! lakini kumpa nchi hapana...nitahama!! jamani kuongoza nchi siyo kukurupuka na kukaripia kwenye vyombo vya habari tu,kha! ni zaidi ya hapo...kweli wajinga ndio waliwao!Kwa muono wangu huyu bwana ndio anafaa kumrithi Kikwete, kwa Nchi yetu ilipofikia tunahitaji Rais mwenye msimamo na mbabe kama huyu jamaa, hatuhitaji tena mtu soft!!!!!