Mheshimiwa Rais, kabla ya watoto kurudi shule, wewe toka kwanza nyumbani kwako Chato rudi ofisini Ikulu

Wewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
Sio inatuuma nini. Magu alizunguka nchi nzima kuomba kura, hadi kupiga pushapu. Kapewa kazi anaanza kuleta za kuleta. Aliapa kuilinda katiba. Aende ofisini akapige kazi. Nyumbani ni nyumbani tu, hata nyumbani kwa rais. Kwani yeye ni rais wa maisha? Nyumba imejengwa iwe nyumbani, ikulu imejengwa iwe ikulu. Watu hilo hawaelewi
 
Umenena vema Sana Kaka. Asiwachuuze wanetu wakati yeye kajificha

Kabla ya kuzifungua hizi sule kuna matayalisho yanatakiwa kufanywa!!! Kuna suala la SAFE DISTANCING kwa jamaii je hili limeshuhulikiwa kabla ya shule kufunguliwa? Matamko ya viongozi kwamba waanze kusherehekea kwani corona imekwisha ni hatari sana kwa usalama wa nchi!!! Corona bado ni tishio duniani kote na tunashuhudia watu wanakufa kwa wingi nchi nyingine kwahiyo tuwe waangalifu na hawa wapenda sifa!!
 
Mimi sijui sababu lakini wapo maraisi kama Paul Biya wa Cameroon anaishi France kwa muda mrefu tu.Pia marehemu Raisi Felix Houphouet Boigny wa Ivory Coast alikaa sana France .
Labda iwe fursa kwa wenye mitaji kujenga mahotel ,kwa wageni wa Raisi.huko Chato.
 
Kwa Mujibu wa sheria ipi mkuu, ebu itaje hyo sheria na sisi mbumbumbu wa sheria tuijue
 


 
Ukipitia hoja za wadau humu utagundua tatizo la Tanzania sio viongozi ni wananchi.
 
Hahaha...jf raha sana, haya katoka chimbo sasa semeni jingine.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…