johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Unaelewa maana ya Taasisi bwashee?!Siyo taasisi ya kufanyia kazi master bedroom, sebuleni na au dining room kwenye nyumba ya mama Janeti
Naam, nafahamu sanaUnaelewa maana ya Taasisi bwashee?!
Umekwenda ofisini ukakosa Huduma yake?!Naam, nafahamu sana
ndiyo maana nataka mkuu wa taasisi arudi ofisini
Pale unapoambiwa shida yako ngoja rais arudi IkuluUmekwenda ofisini ukakosa Huduma yake?!
Naona kasikia yupo maeneo ya Uyuwi anaingia DomUmekwenda ofisini ukakosa Huduma yake?!
Sio inatuuma nini. Magu alizunguka nchi nzima kuomba kura, hadi kupiga pushapu. Kapewa kazi anaanza kuleta za kuleta. Aliapa kuilinda katiba. Aende ofisini akapige kazi. Nyumbani ni nyumbani tu, hata nyumbani kwa rais. Kwani yeye ni rais wa maisha? Nyumba imejengwa iwe nyumbani, ikulu imejengwa iwe ikulu. Watu hilo hawaelewiWewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa
Umenena vema Sana Kaka. Asiwachuuze wanetu wakati yeye kajificha
Hakunaga kitu kama hicho......Ikulu siyo sawa na IPP!Pale unapoambiwa shida yako ngoja rais arudi Ikulu
Bwashee wabongo wana shida sana!Naona kasikia yupo maeneo ya Uyuwi anaingia Dom
Ukifikisha UZI ngapi unapewa posho yako kutoka kwa dj zero?Yeye yuko Chimbo anaagiza toka mbali.
Arudi kwanza ofisini ili tujue kuwa anaamini kile anachotaka kutuaminisha
Kwa Mujibu wa sheria ipi mkuu, ebu itaje hyo sheria na sisi mbumbumbu wa sheria tuijueKwa mujibu wa sheria za nchi ofisi rasmi ya raisi ni Ikulu, Ikulu zozote zilizo ndani ya nchi na wala siyo nyumbani kwake.
Kwa sasa zaidi ya siku 50 Rais anafanyia kazi za nchi ndani ya nyumba yake huko Chato, sijajua yale mafaili confidential ya nchi anayaweka sebuleni kwake au dining room, hili hakuna anayelijua.
Hata hivyo raisi juzi kwenye hotuba ya kisiasa aliyoitoa akiwa madhabahuni alisikika akisema kuwa anakusudia kufungua vyuo maana anaamini nchini mambo ni shwari korona siyo tishio sana.
Mimi ningependa kumwambia ndugu rais kwamba, kabla ya kufungua vyuo rudi kwanza ofisini. Wakati akiwataka maelfu ya watumishi ambao ni waalimu warudi mashuleni kuchapa kazi basi ni muhimu naye akarudi katika ofisi ambayo kisheria ndiyo anayopaswa kufanyia shughuli za kiofisi.
Nyumba ya rais huko Chato siyo ya kwake peke yake, ni yake na mkewe. Mkewe ana haki ya kuchagua mtu gani aingie ndani ya nyumba hiyo, hata hivyo Ikulu siyo yake na mkewe kwa hiyo hawana haki ya kumkatalia mtu yeyote kwenda kupata huduma ya raisi au taasisi ya uraisi yenye ofisi zake Ikulu.
Kitendo cha raisi kufanyia kazi za nchi kwenye nyumba yake binafsi kinawanyima haki ya kupata huduma za kiofisi wananchi wengi wenye kutaka kupata huduma za kiofisi za raisi.
Kitu kingine ni kwamba nyumba ya raisi huko Chato haikujengwa makhsusi kuwa na hadhi ya Uraisi, haikuwekewa vifaa vyote vya ulinzi stahiki wa mtu anayekalia kiti cha rais, kwa hiyo ni security risk kwa rais kuendelea kukaa kwenye nyumba hiyo binafsi.
Kama rais anadhani Korona ipo under control atoke huko Chato kwenye nyumba ya mama yetu mama Janet aje kwenye nyumba ambayo wananchi wamemuweka afanye kazi zetu.
Ndugu rais uko nje ya ofisi kwa muda mrefu sasa, rudi ofisini!
Kwa mujibu wa sheria za nchi ofisi rasmi ya raisi ni Ikulu, Ikulu zozote zilizo ndani ya nchi na wala siyo nyumbani kwake.
Kwa sasa zaidi ya siku 50 Rais anafanyia kazi za nchi ndani ya nyumba yake huko Chato, sijajua yale mafaili confidential ya nchi anayaweka sebuleni kwake au dining room, hili hakuna anayelijua.
Hata hivyo raisi juzi kwenye hotuba ya kisiasa aliyoitoa akiwa madhabahuni alisikika akisema kuwa anakusudia kufungua vyuo maana anaamini nchini mambo ni shwari korona siyo tishio sana.
Mimi ningependa kumwambia ndugu rais kwamba, kabla ya kufungua vyuo rudi kwanza ofisini. Wakati akiwataka maelfu ya watumishi ambao ni waalimu warudi mashuleni kuchapa kazi basi ni muhimu naye akarudi katika ofisi ambayo kisheria ndiyo anayopaswa kufanyia shughuli za kiofisi.
Nyumba ya rais huko Chato siyo ya kwake peke yake, ni yake na mkewe. Mkewe ana haki ya kuchagua mtu gani aingie ndani ya nyumba hiyo, hata hivyo Ikulu siyo yake na mkewe kwa hiyo hawana haki ya kumkatalia mtu yeyote kwenda kupata huduma ya raisi au taasisi ya uraisi yenye ofisi zake Ikulu.
Kitendo cha raisi kufanyia kazi za nchi kwenye nyumba yake binafsi kinawanyima haki ya kupata huduma za kiofisi wananchi wengi wenye kutaka kupata huduma za kiofisi za raisi.
Kitu kingine ni kwamba nyumba ya raisi huko Chato haikujengwa makhsusi kuwa na hadhi ya Uraisi, haikuwekewa vifaa vyote vya ulinzi stahiki wa mtu anayekalia kiti cha rais, kwa hiyo ni security risk kwa rais kuendelea kukaa kwenye nyumba hiyo binafsi.
Kama rais anadhani Korona ipo under control atoke huko Chato kwenye nyumba ya mama yetu mama Janet aje kwenye nyumba ambayo wananchi wamemuweka afanye kazi zetu.
Ndugu rais uko nje ya ofisi kwa muda mrefu sasa, rudi ofisini!
Nadhani Leo atakuwa ikulu kwanza dawa MadagascarYeye yuko Chimbo anaagiza toka mbali.
Arudi kwanza ofisini ili tujue kuwa anaamini kile anachotaka kutuaminisha
Hiki nini mkuu
Hahaha...jf raha sana, haya katoka chimbo sasa semeni jingine.Hao kina Bashite na JIWE wanatuambia tufanye kazi na tupige kazi kama kawaida huku tukichua tahadhari wakati wao wenyewe wamejificha,mimi mpaka nione wao kwanza wakifanya ziara kama awali na jiwe akirudi kula upepo wa bahari,kwenda kwenye vijiwe,kwenda kanisani kila jumapili kama ilivyo ada yake,bashite na yeye kuzunguka na comvoy yake mitaa yote ya Dar,wakifanya hivyo ndio nitaamini wanachomaanisha ila wakiendelea kujificha ficha press conference au kuonekana kwenye TV kila baada ya wiki mbili nitazidi kuchanganya na zangu akili za kuambiwa.
Aisee...!! Ikulu ndogo unaijua.!??Wewe inakuuma nini raisi akiwa Ikulu ndogo? Kakae ww ikulu kama imekua nongwa