MPE YA UTINa kweli wewe popoma, kama Rais mwenyewe anajulikana, sembuse dg tiss?! Nadhani ukikua utaelewa mambo ya aina hii, ma-dg wote wa tiss tangu enzi za mwalimu watu wanawajua mpaka wanakolala!! hebu kula erythromycine kidogo utulize kipindupindu.
Mwanazuoni usiri ulikua zamani. USA mkuu wa CIA kabla ya kuchukua nafasi anawekwa kikaangoni na Senate. Watu ambao hawahitaji kujulikana ni wale waitwao MOLE. Hawa ni ma agent ambao hupelekwa kukusanya data kutoka mahali wanapofanya kazi. Hivyo ni lazima kuficha cover zao. Lakini huyu Kipilimba hakuna asiyejua kuwa ni mkuu wa ama Mkurugenzi wa Usalama wa TAIFA. Labda SHUSHUSHU mkuu wa JF Mheshimiwa Evarist Chahali atatusaidia kwa hili ama rafiki yake mtunzi wa kitabu cha Amazoni Yericko Kiboko NyerereANGALIZO
Naomba kama unajijua kabisa kuwa uwezo wako wa kuona vitu vya umbali / unyeti / umuhimu wake basi katika huu ' Uzi ' kaa nao mbali kabisa na waachie wenye ' akili ' zao na ' Wachambuzi ' wa masuala haya ya Kijasusi ambao wapo ( tunao ) wengi humu na Sisi Mangumbaru na Mapopoma wengine tuwe watazamaji tu kuliko Kuchangia halafu ukajikuta umevapa / umekosea.
HOJA KUU
Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba karibia awamu zote za nchi hii nilikuwepo japo ya Hayati Baba wa Taifa ilinikutia nikiwa bado katika Ndoo ya Kuogea na nalilia Uji wa Buruga ( namaanisha nikiwa bado Kichanga kabisa ) ila kwa awamu ya Mzee Mwinyi niliishuhudia bila kusahau ya Mzee Mkapa na ya Mzee Kikwete na sasa nipo hii ya Mheshimiwa Dkt. Magufuli natiririka na naserereka nayo.
Katika Awamu zote hizo sikuwahi hata Siku moja kuwasikia hao Watangulizi wake Rais Dkt. Magufuli wakiwa na tabia ya kupenda ' Kumtajataja ' au hata kupenda kuonyesha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Idara Nyeti nchini ya Usalama wa Taifa ( TISS ) yupo eneo ambalo Wao wapo ila ilikuwa ni mpaka tu labda Mtu akutonye / akuambie.
Nimejuiuliza maswali mengi sana kwani Marais wote Wastaafu walikuwa hawapendi kuwatajataja Wakuregenzi wao Usalama wa Taifa ( TISS DG ) lakini kwa Awamu hii ya Gwala / Tano Rais Dkt. Magufuli anapenda mno ' Kumtaja ' na hata kupenda ' Kumuinua ' Kitini Mkurugenzi wa sasa Dkt. Modestus Kipilimba na bado sijapata jawabu / jibu ila najua kupitia ' Majiniasi ' waliotukuka wa Jamvi hili la JamiiForums leo nitayapata.
Sikuishia tu hapo kama kawaida yangu huwa napenda kwenda ' deep ' zaidi kufanya ' references ' na Mataifa mengine mbalimbali kuanzia na haya Jirani ( tunaofanana kwa Vingi ) kisha hupenda pia kuangalia na yale Mataifa makubwa ambayo yana uwezo mkubwa wa Kuanzia Uchumi, Kijeshi na Kiusalama kuliko Tanzania yetu hii na sijaona mahala ambapo Marais wao huwa wanawataja hovyo tena hadharani Wakurugenzi Wakuu wa Idara zao ' Nyeti ' za Usalama wa Taifa ila kwa Tanzania naona hii tabia inaanza Kuzoeleka.
Kwa maoni au mtazamo wangu mdogo tu ( mnaojua zaidi mtanisaidia ) kwa asili ya hizi nchi zetu tena ambazo zina ' Majaribu ' na ' Matatizo ' mengi ya Kimsingi huku kukiwa na ' Maadui ' wengi wa ndani na nje sidhani na siafiki kabisa tena kwa 100% kwa Wakurugenzi wetu hawa wa hii Idara / Taasisi muhimu kama si nyeti ya Usalama wa Taifa ( TISS ) kutajwatajwa hovyo kwa Watu na hata kujulikana kwakuwa Tanzania ya sasa imejaa Watu wa ajabu ajabu wenye ' maslahi ' yao ' hasi ' na nchi hii hivyo kuna uwezekano na Wao wakaanza Kumjua na Kumzoea kisha hali ikaja kuwa mbaya zaidi huko mbeleni.
Na sidhani pia kama hata ' Kiuweledi ' hivi anavyofanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. Magufuli la kupenda ' Kumtajataja ' Mkurugenzi Mkuu wa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa ( TISS DG ) Dkt. Kipilimba ni sahihi na kama itapendeza nadhani Watu wa ' Itifaki ' ambao nina uhakika kuwa wengi wenu tunatiririka na kuserereka pamoja 24/7 hapa JamiiForums hili mtaliangalia kwa hayo mapana yake ili utaratibu ule ule uliozoeleka wa zamani wa hawa Wakurugenzi kutojulikana sana au kutajwatajwa hovyo uendelee kwani Kwangu Mimi kwa ' Mazingira ' ya nchi yetu ulikuwa ni utaratibu murua / mujarab / sahihi kabisa kuliko huu wa sasa aliouanzisha Amiri Jeshi Mkuu na Rais Dkt. Magufuli.
Huu ulikuwa ni mtizamo wangu Mimi kama GENTAMYCINE ila nitashukuru na Watu wengine nao wakija hapa wakichangia huku wale ambao ' watanikosoa ' basi wanikosoe ha ' Hoja ' nzito nzito kwani hata Mimi nataka Kujifunza jambo hapa kutokana na kwamba yawezekana huu utaratibu wa sasa ukawa ndiyo sahihi kuliko ule ambalo nimeukariri / nimeuzoea. Nia na madhamuni tupate afya ya Kimjadala na ya Kimantiki juu ya hili ' Suala ' kusudi mwisho wa Siku wote tupate ' maarifa ' na ' ufahamu ' zaidi.
Karibuni!
Nawasilisha.
Hoja ya mleta uzi, ilikuwa sabbu ya kumtaja taja...Sasa mbona kipindi anateuliwa kuwa DG media zote za ndani na nje zilichapisha habari na kubandika picha zake sasa hao maadui unaowasema wanashindwa kwenda google na kupata picha ya huyo Kipilimba na pia siku anaapishwa tukio si ilichukukuwa live na video zipo youtube.
Kiongozi mkuu wa idara nyeti asiweze kujulikana hio kitu hakipo popote pale duniani.Mkuu wa intelijensia wa Rwanda bwana Emmanuel Karenza ,chief wa kenya bwana kameru ukitaka picha zao ,information google utazikuta kibao.
Binafsi sijaona mantiki ya hoja hii.
Yaani nyie jamaa kila kitu mnahisi mnatishwa mara mnaonewa.Mnajihesabia haki hadi mnapitiliza.Hiyo ni defending mechanism tu.
Anajaribu kupeleka ujumbe kwamba anawatumia sana vibarua wa DGoTISS, hawalali hivyo wakosoaji wake lazima watambue unavyoiba mifugo usifikiri kama umewini ila ukumbe yupo mchungaji anaeweka kikao na wenye mifugo.
Kwa hiyo hiyo ni kujaribu kutisha kama alivyo tumia jeshi katika kufanya manunuzi ya korosho na kufungia maduka ya FOREX .
Hatua hii ikizoeleka watesi wake wataona ni kawaida tu hivo hawatahofia kusonga mbele kwani hao wameshakuwa washikaji,wachumba tu!
Njia hii ya kutaja taka wakuu wa vyombo vya ulinzi, usalama na ujasusi hadharani na bila sababu au mazingira yeyote yanayo lazimisha kufanya hivo sio nzuri na mara nyingi huwa na mwisho mbaya kwa mtajaji na mtajwa!
Kaka mimi hii kitu nishaiona muda sana na inanitatiza lakini naamini jiwe hajui namna jamaa wanavyotakiwa kufanya kazi,ndo hoja ya wale wanaodai jiwe hakuandaliwa na mfumo kuwa state man inapata nguvu.ANGALIZO
Naomba kama unajijua kabisa kuwa uwezo wako wa kuona vitu vya umbali / unyeti / umuhimu wake basi katika huu ' Uzi ' kaa nao mbali kabisa na waachie wenye ' akili ' zao na ' Wachambuzi ' wa masuala haya ya Kijasusi ambao wapo ( tunao ) wengi humu na Sisi Mangumbaru na Mapopoma wengine tuwe watazamaji tu kuliko Kuchangia halafu ukajikuta umevapa / umekosea.
HOJA KUU
Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba karibia awamu zote za nchi hii nilikuwepo japo ya Hayati Baba wa Taifa ilinikutia nikiwa bado katika Ndoo ya Kuogea na nalilia Uji wa Buruga ( namaanisha nikiwa bado Kichanga kabisa ) ila kwa awamu ya Mzee Mwinyi niliishuhudia bila kusahau ya Mzee Mkapa na ya Mzee Kikwete na sasa nipo hii ya Mheshimiwa Dkt. Magufuli natiririka na naserereka nayo.
Katika Awamu zote hizo sikuwahi hata Siku moja kuwasikia hao Watangulizi wake Rais Dkt. Magufuli wakiwa na tabia ya kupenda ' Kumtajataja ' au hata kupenda kuonyesha kwamba Mkurugenzi Mkuu wa Idara Nyeti nchini ya Usalama wa Taifa ( TISS ) yupo eneo ambalo Wao wapo ila ilikuwa ni mpaka tu labda Mtu akutonye / akuambie.
Nimejuiuliza maswali mengi sana kwani Marais wote Wastaafu walikuwa hawapendi kuwatajataja Wakuregenzi wao Usalama wa Taifa ( TISS DG ) lakini kwa Awamu hii ya Gwala / Tano Rais Dkt. Magufuli anapenda mno ' Kumtaja ' na hata kupenda ' Kumuinua ' Kitini Mkurugenzi wa sasa Dkt. Modestus Kipilimba na bado sijapata jawabu / jibu ila najua kupitia ' Majiniasi ' waliotukuka wa Jamvi hili la JamiiForums leo nitayapata.
Sikuishia tu hapo kama kawaida yangu huwa napenda kwenda ' deep ' zaidi kufanya ' references ' na Mataifa mengine mbalimbali kuanzia na haya Jirani ( tunaofanana kwa Vingi ) kisha hupenda pia kuangalia na yale Mataifa makubwa ambayo yana uwezo mkubwa wa Kuanzia Uchumi, Kijeshi na Kiusalama kuliko Tanzania yetu hii na sijaona mahala ambapo Marais wao huwa wanawataja hovyo tena hadharani Wakurugenzi Wakuu wa Idara zao ' Nyeti ' za Usalama wa Taifa ila kwa Tanzania naona hii tabia inaanza Kuzoeleka.
Kwa maoni au mtazamo wangu mdogo tu ( mnaojua zaidi mtanisaidia ) kwa asili ya hizi nchi zetu tena ambazo zina ' Majaribu ' na ' Matatizo ' mengi ya Kimsingi huku kukiwa na ' Maadui ' wengi wa ndani na nje sidhani na siafiki kabisa tena kwa 100% kwa Wakurugenzi wetu hawa wa hii Idara / Taasisi muhimu kama si nyeti ya Usalama wa Taifa ( TISS ) kutajwatajwa hovyo kwa Watu na hata kujulikana kwakuwa Tanzania ya sasa imejaa Watu wa ajabu ajabu wenye ' maslahi ' yao ' hasi ' na nchi hii hivyo kuna uwezekano na Wao wakaanza Kumjua na Kumzoea kisha hali ikaja kuwa mbaya zaidi huko mbeleni.
Na sidhani pia kama hata ' Kiuweledi ' hivi anavyofanya Mheshimiwa Rais wa Awamu ya Tano Dkt. Magufuli la kupenda ' Kumtajataja ' Mkurugenzi Mkuu wa Idara / Taasisi ya Usalama wa Taifa ( TISS DG ) Dkt. Kipilimba ni sahihi na kama itapendeza nadhani Watu wa ' Itifaki ' ambao nina uhakika kuwa wengi wenu tunatiririka na kuserereka pamoja 24/7 hapa JamiiForums hili mtaliangalia kwa hayo mapana yake ili utaratibu ule ule uliozoeleka wa zamani wa hawa Wakurugenzi kutojulikana sana au kutajwatajwa hovyo uendelee kwani Kwangu Mimi kwa ' Mazingira ' ya nchi yetu ulikuwa ni utaratibu murua / mujarab / sahihi kabisa kuliko huu wa sasa aliouanzisha Amiri Jeshi Mkuu na Rais Dkt. Magufuli.
Huu ulikuwa ni mtizamo wangu Mimi kama GENTAMYCINE ila nitashukuru na Watu wengine nao wakija hapa wakichangia huku wale ambao ' watanikosoa ' basi wanikosoe ha ' Hoja ' nzito nzito kwani hata Mimi nataka Kujifunza jambo hapa kutokana na kwamba yawezekana huu utaratibu wa sasa ukawa ndiyo sahihi kuliko ule ambalo nimeukariri / nimeuzoea. Nia na madhamuni tupate afya ya Kimjadala na ya Kimantiki juu ya hili ' Suala ' kusudi mwisho wa Siku wote tupate ' maarifa ' na ' ufahamu ' zaidi.
Karibuni!
Nawasilisha.
Juzi nimehoji hivi ni lazima mtu kila siku apost thread humu?Kuna watu yaani wanapost vitu vya ajabu sana na wengi ni kutaka sifa za likes tu.Kiujumla jamaa ujuaji mwingi sana na akiambiwa ulichopost ni pumba anakuja juu kwa matusi.Sasa mbona kipindi anateuliwa kuwa DG media zote za ndani na nje zilichapisha habari na kubandika picha zake sasa hao maadui unaowasema wanashindwa kwenda google na kupata picha ya huyo Kipilimba na pia siku anaapishwa tukio si ilichukukuwa live na video zipo youtube.
Kiongozi mkuu wa idara nyeti asiweze kujulikana hio kitu hakipo popote pale duniani.Mkuu wa intelijensia wa Rwanda bwana Emmanuel Karenza ,chief wa kenya bwana kameru ukitaka picha zao ,information google utazikuta kibao.
Binafsi sijaona mantiki ya hoja hii.
Mkuu kubali tu kwa hili hoja yako ni pumba.Unless hutak kukosewaKwani nimetaka ' ufafanuzi ' wa Kimantiki au ' mabishano ' nawe? Hopeless!
Pamoja na mambo mengine, Rais JPM anajivunia kazi aliyomkabidhi na anayoifanya DG wa TISS hususan kwa tempo na mfumo wake wa utawala.Amtaje au asimtaje hadharani, watu wakihitaji kumjua watamjua tu. Ifikie wakati tuamini integrity ya watu wetu. Hata hivyo TISS ni chombo halali cha serikali kwahiyo hakuna ubaya mkuu wao kufahamika. Kazi zao kua siri ni sawa ila sio executives.
Nimefurahi kuskia maneno yako mkuu, naamini kama ulivyosema terms and conditions are applied. Pitia comments zote na yule mjinga wa Kilombelo aliyepo Ng'ambo akijibu nitagGENTAMYCINE
Kindly ondoa wasiwasi ndugu; hakuna madhara/makosa yoyote wala hakuna uweledi uliuvunjwa kwa kutajwa kwa DGIS au ata akitajwa DDGIS wote hao ni just Public Figures...
Makosa yanaweza kutokea endapo kama wakitajwa vijana wafanyao kazi mbalimbali (Ops) kwa majina...kitu ambacho usitegemee kutokea ata siku moja...
Mataifa mbalimbali makubwa ambayo umeyazungumzia kama mifano, siku zote uwataja viongozi waandamizi mbalimbali wa Idara zao za kijasusi siku wanapoteuliwa na ata ktk mambo mengine mbalimbali...e.g.Kama ulifuatilia teuzi za Brennan, Pompeo mpaka Gina Haspel kama D/CIA...
Mfano ata asipotajwa DGIS au kutambulishwa, atakaeweza kufichwa hapa ni yule raia wa kawaida ila kwa wale ambao ni wajuzi wa haya mambo eidha wa ndani au wa mataifa mengine siku zote watawajua tu au ata mkitoa mtu nje ya nchi aje kuchukua nafasi watamjua (kwa majina, familia zao, makazi yao, weakness zao, uchafu wao, nk) ata kabla hawajateuliwa au majina yao hayajakuwa recommended kwa uteuzi...Chief of Stations (COSs) wa mataifa yote na vijana wao waliojificha kwa kivuli cha balozi hii ndio moja ya kazi zao...
Ata raia wa kawaida akijua DGIS au DDGIS ni nani au ata wakiwazoea hakuna lolote baya litaweza kutokea...narudia tena hakuna lolote baya linaweza kutokea...everything is under control, and anything will be dealt accordingly.
Mkuu hivi Mzee hawezi kudhuliwa na wabaya wetu kupitia kupeana mikono?GENTAMYCINE
Kindly ondoa wasiwasi ndugu; hakuna madhara/makosa yoyote wala hakuna uweledi uliuvunjwa kwa kutajwa kwa DGIS au ata akitajwa DDGIS wote hao ni just Public Figures...
Makosa yanaweza kutokea endapo kama wakitajwa vijana wafanyao kazi mbalimbali (Ops) kwa majina...kitu ambacho usitegemee kutokea ata siku moja...
Mataifa mbalimbali makubwa ambayo umeyazungumzia kama mifano, siku zote uwataja viongozi waandamizi mbalimbali wa Idara zao za kijasusi siku wanapoteuliwa na ata ktk mambo mengine mbalimbali...e.g.Kama ulifuatilia teuzi za Brennan, Pompeo mpaka Gina Haspel kama D/CIA...
Mfano ata asipotajwa DGIS au kutambulishwa, atakaeweza kufichwa hapa ni yule raia wa kawaida ila kwa wale ambao ni wajuzi wa haya mambo eidha wa ndani au wa mataifa mengine siku zote watawajua tu au ata mkitoa mtu nje ya nchi aje kuchukua nafasi watamjua (kwa majina, familia zao, makazi yao, weakness zao, uchafu wao, nk) ata kabla hawajateuliwa au majina yao hayajakuwa recommended kwa uteuzi...Chief of Stations (COSs) wa mataifa yote na vijana wao waliojificha kwa kivuli cha balozi hii ndio moja ya kazi zao...
Ata raia wa kawaida akijua DGIS au DDGIS ni nani au ata wakiwazoea hakuna lolote baya litaweza kutokea...narudia tena hakuna lolote baya linaweza kutokea...everything is under control, and anything will be dealt accordingly.