GENTAMYCINE
Kindly ondoa wasiwasi ndugu;
hakuna madhara/makosa yoyote wala hakuna uweledi uliuvunjwa kwa kutajwa kwa DGIS au ata akitajwa DDGIS wote hao ni just Public Figures...
Makosa yanaweza kutokea endapo kama wakitajwa vijana wafanyao kazi mbalimbali (Ops) kwa majina...kitu ambacho usitegemee kutokea ata siku moja...
Mataifa mbalimbali makubwa ambayo umeyazungumzia kama mifano, siku zote uwataja viongozi waandamizi mbalimbali wa Idara zao za kijasusi siku wanapoteuliwa na ata ktk mambo mengine mbalimbali...e.g.Kama ulifuatilia teuzi za Brennan, Pompeo mpaka Gina Haspel kama D/CIA...
Mfano ata asipotajwa DGIS au kutambulishwa, atakaeweza kufichwa hapa ni yule raia wa kawaida ila kwa wale ambao ni wajuzi wa haya mambo eidha wa ndani au wa mataifa mengine siku zote watawajua tu au ata mkitoa mtu nje ya nchi aje kuchukua nafasi watamjua (kwa majina, familia zao, makazi yao, weakness zao, uchafu wao, nk) ata kabla hawajateuliwa au majina yao hayajakuwa recommended kwa uteuzi...Chief of Stations (COSs) wa mataifa yote na vijana wao waliojificha kwa kivuli cha balozi hii ndio moja ya kazi zao...
Ata raia wa kawaida akijua DGIS au DDGIS ni nani au ata wakiwazoea hakuna lolote baya litaweza kutokea...narudia tena hakuna lolote baya linaweza kutokea...everything is under control, and anything will be dealt accordingly.