Mheshimiwa Rais sidhani kama kupenda Kwako kila mara ' Kumtajataja ' hadharani TISS DG Dkt. Kipilimba ni sawa Kiuweledi

Mheshimiwa Rais sidhani kama kupenda Kwako kila mara ' Kumtajataja ' hadharani TISS DG Dkt. Kipilimba ni sawa Kiuweledi

Kaka mimi hii kitu nishaiona muda sana na inanitatiza lakini naamini jiwe hajui namna jamaa wanavyotakiwa kufanya kazi,ndo hoja ya wale wanaodai jiwe hakuandaliwa na mfumo kuwa state man inapata nguvu.
Wakati mwingine akimuinua hadi mimi nayefatilia kupitia TV naona aibu. Kwa mfumo wetu na muundo wa idara sio kila mtu anatakiwa kuonekana /kujulikana, ndo maana wenzetu kama UK wana idara zaidi ya moja kama MI5 na MI6 au kule US wana FBI na CIA.
Naamini mkuu alivyoanza phase one kuna vitu vingi alikuwa hayuko familia navyo na kadri muda unavyoenda naona pase ya kujifunza inaongezeka, kumbuka hata aina ya speech na approach ya mambo.
Kupitia jukwaa hili tunafikisha ujumbe sehemu husika, amini kupitia hapa JF tunaelimisha na utaona changes.

Asante kwa uzalendo mkuu, unaipenda Tanzania.

Akhsante Mkuu na nimekupata vyema kabisa. Tuko pamoja!
 
Hili suala si la kawaida katika uwanja wa ujasusi ni awamu ya tano ndio tumeanza kuona mambo kama haya.Yamkini tunaweza kufikiri hili ni jambo jipya lakini si TISS pekee yake hata vyombo vingine vya ulinzi na usalama.
Mfano nimekuwa nikishangaa Mkuu wa JWTZ au IGP kuambatana na Mkuu wa nchi katika ziara za kisiasa hili nalo si jambo la kawaida.Mfano mwingine wakufunzi wa kozi ya ofisa wa jeshi Monduli miaka yote wamekuwa wakimaliza kozi yao chuoni Monduli lakini katika awamu hii tumeshuhudia wakimaliza gwaride lao uwanja wa mpira Sheck Amri Abeid na wakati mwingine viwanja vya Ikulu.

Wee Ngongo hivi ulishajiuliza kwanini katoto ka kimasai kanatokaga full ngwamba? Rungu, Sime, Mkuki, Ngao.... etc? Kalaga baho!
 
Juzi nimehoji hivi ni lazima mtu kila siku apost thread humu?Kuna watu yaani wanapost vitu vya ajabu sana na wengi ni kutaka sifa za likes tu.Kiujumla jamaa ujuaji mwingi sana na akiambiwa ulichopost ni pumba anakuja juu kwa matusi.

' Nyota ' yangu Kali na ' iliyobarikiwa ' inakutesa na nakuhakikishia itakutesa sana hadi utapasuka kabisa Ufe. Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongozwa Kukodolewa / Kutizamwa hadi na alipo Mkuu wako anayekuongoza Tanzania ' Magogoni ' pamoja na Watendaji wake wote mbalimbali.

Na kama haitoshi pia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ya GENTAMYCINE ndiyo inaongoza kwa Kujadiliwa na wakati mwingine hata kutumiwa kama ' Reference ' katika ' Mada ' fulani katika Taasisi mbalimbali za ' Kitaaluma ' hapa nchini huku Wanafunzi wengi wa Vyuo wakiwa ' wanavutiwa ' nayo vile vile.

Nakuongezea zaidi ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongoza kwa Kufuatiliwa na Wanahabari wengi tena hasa wale ' Wachambuzi ' wa mambo mbalimbali na hata Gazeti lako la TANZANITE kuna taarifa zake kadhaa imewaandikieni baada ya Kuchukua kila Kitu kutoka Kwangu ( Maudhui yangu hapa JamiiForums )


Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ndiyo inaongoza kwa ' Mabandiko ' yake mengi kutumiwa kama ' Kivutio ' cha ' Story ' na Mitandao mingine mbalimbali na kuna hadi mingine kwa Kuniheshimu, Kunitambua na Kujua ' thamani ' ya uwepo wangu hapa huwa pia wananitaja mwishoni mwa taarifa zao hizo.

Nakumalizia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukua ndiyo inaongozwa kutumiwa mno na Mtangazaji na Bosi wa Radio One Ndugu Deogratius Stephen Rweyunga hasa katika ile ' Segment ' yake ya Habari ' Nyepesi Nyepesi ' ambapo amekuwa mara kwa mara akipenda sana kuchukua ' Vituko ' vyangu vya hapa Jamvini na kuvitumia katika ' Kuwahabarisha ' Wasikilizaji wake.

Na ili uone kuwa ' Nyota ' yangu ni Kali na ' imeshabarikiwa ' na Mwenyezi Mungu hata GENTAMYCINE nikianzisha ' Thread ' gani iwe Mbaya, ya Kipuuzi, ya Kitoto au ya Muundo wowote ule bado tu itapokelewa na ' Kuchangamkiwa ' vile vile na Wadau. Hata Mimi sikupenda na sijapenda niwe ' Maarufu ' hivi ila nimejikuta tu nipo hivi halafu nasikitika ni kwanini Mwenyezi Mungu alinipendelea na Kukusahau Wewe Popoma / Pumbavu.

Huyu ndiyo GENTAMYCINE " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ". Naomba ujumbe huu hakikisha unawafowadia na wale ' Wapuuzi ' wenzio wote ambao huwa nawashangaa mnasema na mnaonyeshwa ' Kuchukizwa ' nami na uwepo wangu hapa Jamvini 24/7 lakini ndiyo nyie nyie mnaongoza Kukodolea / Kuangalia ' threads ' zangu hapa JamiiForums bila kusahau ' posts ' zangu wakati mkijua kabisa kuwa zipo ' threads ' nyingi tu na ' Majukwaa ' mbalimbali.

Ninapokuwa nawadharau na kuwaambieni kuwa HAMNA AKILI msiwe ama mnakataa au mnabisha kwani nipo sahihi kabisa.
 
' Nyota ' yangu Kali na ' iliyobarikiwa ' inakutesa na nakuhakikishia itakutesa sana hadi utapasuka kabisa Ufe. Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongozwa Kukodolewa / Kutizamwa hadi na alipo Mkuu wako anayekuongoza Tanzania ' Magogoni ' pamoja na Watendaji wake wote mbalimbali.

Na kama haitoshi pia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ya GENTAMYCINE ndiyo inaongoza kwa Kujadiliwa na wakati mwingine hata kutumiwa kama ' Reference ' katika ' Mada ' fulani katika Taasisi mbalimbali za ' Kitaaluma ' hapa nchini huku Wanafunzi wengi wa Vyuo wakiwa ' wanavutiwa ' nayo vile vile.

Nakuongezea zaidi ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongoza kwa Kufuatiliwa na Wanahabari wengi tena hasa wale ' Wachambuzi ' wa mambo mbalimbali na hata Gazeti lako la TANZANITE kuna taarifa zake kadhaa imewaandikieni baada ya Kuchukua kila Kitu kutoka Kwangu ( Maudhui yangu hapa JamiiForums )


Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ndiyo inaongoza kwa ' Mabandiko ' yake mengi kutumiwa kama ' Kivutio ' cha ' Story ' na Mitandao mingine mbalimbali na kuna hadi mingine kwa Kuniheshimu, Kunitambua na Kujua ' thamani ' ya uwepo wangu hapa huwa pia wananitaja mwishoni mwa taarifa zao hizo.

Nakumalizia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukua ndiyo inaongozwa kutumiwa mno na Mtangazaji na Bosi wa Radio One Ndugu Deogratius Stephen Rweyunga hasa katika ile ' Segment ' yake ya Habari ' Nyepesi Nyepesi ' ambapo amekuwa mara kwa mara akipenda sana kuchukua ' Vituko ' vyangu vya hapa Jamvini na kuvitumia katika ' Kuwahabarisha ' Wasikilizaji wake.

Na ili uone kuwa ' Nyota ' yangu ni Kali na ' imeshabarikiwa ' na Mwenyezi Mungu hata GENTAMYCINE nikianzisha ' Thread ' gani iwe Mbaya, ya Kipuuzi, ya Kitoto au ya Muundo wowote ule bado tu itapokelewa na ' Kuchangamkiwa ' vile vile na Wadau. Hata Mimi sikupenda na sijapenda niwe ' Maarufu ' hivi ila nimejikuta tu nipo hivi halafu nasikitika ni kwanini Mwenyezi Mungu alinipendelea na Kukusahau Wewe Popoma / Pumbavu.

Huyu ndiyo GENTAMYCINE " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ". Naomba ujumbe huu hakikisha unawafowadia na wale ' Wapuuzi ' wenzio wote ambao huwa nawashangaa mnasema na mnaonyeshwa ' Kuchukizwa ' nami na uwepo wangu hapa Jamvini 24/7 lakini ndiyo nyie nyie mnaongoza Kukodolea / Kuangalia ' threads ' zangu hapa JamiiForums bila kusahau ' posts ' zangu wakati mkijua kabisa kuwa zipo ' threads ' nyingi tu na ' Majukwaa ' mbalimbali.

Ninapokuwa nawadharau na kuwaambieni kuwa HAMNA AKILI msiwe ama mnakataa au mnabisha kwani nipo sahihi kabisa.
Sijasoma hata kidogo, nimeona ni like tu hahahahahahah. Haiitaj kutumia nguvu.
 
Kuna vyeo vya idara ya usalama watu wanajulikana na siyo siri kama huyo DG wa usalama wapo hata mikoa RSO na wilayani DSO kila mtu anamjua na anajua kazi zake.Sioni kama ni tatizo hata pale anapotajwa hadharani.na hata huwa wana mikutano yao ya kimataifa duniani huko wanakutana na picha wanapiga za pamoja na zinasambaa pia mfano nakumbuka walikutano Kigali Rwanda wakuu wote wa Idara ya usalama kwa nchi za africa.

Kulikoni leo HUJANITISHIA MAISHA ( kuwa my days are numbered ) KAMA AMBAVYO ULINITISHIA KATIKA ' POSTS ' ZAKO MBILI ZA JUMAPILI NA JUMATATU?
 
Amtaje au asimtaje hadharani, watu wakihitaji kumjua watamjua tu. Ifikie wakati tuamini integrity ya watu wetu. Hata hivyo TISS ni chombo halali cha serikali kwahiyo hakuna ubaya mkuu wao kufahamika. Kazi zao kua siri ni sawa ila sio executives.

Mie nimemuona ana kwa ana juzi tulikuwa nae kwenye sherehe fulani hivi, ile sherehe ilianza saa tisa machana hadi saa moja jioni, muda wote huo yale maV8 meusi kule nje yalikuwa yanaunguruma tu......hayakuzimwa
 
Sijasoma hata kidogo, nimeona ni like tu hahahahahahah. Haiitaj kutumia nguvu.

Hizo ndizo aina zangu za ' dozi ' ambazo huwa nawapa Mangumbaru / Wajinga na Mapopoma / Wapumbavu wa mfano wako pindi ' Wakijipendekeza ' Kwangu na nina uhakika imekuingia vilivyo.
 
We ungekua kiongoz, ungekua dikteta mbaya sana.

Tangia hapo ' naturally ' Mimi ni ' Typical Dictator ' nashangaa Siku zote ulikuwa hujui. Labda nife leo hii ila kwa ' mipango ' yangu ambayo naiweka na naifanya taratibu na kwa umakini wake wa hali ya juu kati ya mwaka 2045 au 2055 Mimi GENTAMYCINE ndiyo nitakuwa Amiri Jeshi Mkuu wako na Rais wako wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitakuongoza kwa miaka yangu Kumi ( 10 ) utake usitake. Itunze hii ' post ' tafadhali.
 
Sijawahi Kuanzisha ' Threads ' fupi hapa JamiiForums Mkuu ( pitia threads zangu zote za mambo sensitive zilivyo ) na nashukuru zote zimekuwa zikisomwa na kupata mrejesho wake hivyo labda hili ni tatizo lako tu. Hata hivyo asante kwa kuja na kuchangia hivyo nikuombe tu kaa pembeni waachie ' Great Thinkers ' waje waweze kunipa ' Madini ' tafadhali.

Mkuu huyu kazoea vibamia.
 
Mkuu huyu mleta mada anazunguka mbuyu tu ila hana hoja hapa.
Huyu mkurugenzi wa TISS yeye kama yeye uteuzi wake hutangazwa hadharani, so yeye sio siri bali taasisi yake na watendaji wake pamoja na shughuli zao.
Sijui Kwa Nn
 
Hoja ya mleta uzi, ilikuwa sabbu ya kumtaja taja...
na zaidi kuna wakati hata DDG naye alikuwa anamtaja..
so, kutajwa huku kunakuwa kunaleta viashiria gani ndani ya wasifu wa Rais na Nje ya wasifu wake???
Ni kweli mtoaji hoja ana maana hapa kubwa lakini si unamjua GENTAMYCINE ni mimi namuita MWANAZUONI ni mwanafasihi thread zake zinatakiwa uelewa wa juu anaandika zaidi kifasihi. Kwahilo nakubaliana na wewe na Mtoa mada hakuna haja ya kumtajataja mtu huyu wa Usalama na ukichukulia matukio yanayotikea kila kukicha watu wanaweza kuunganisha dots. Asante kwa ufafanuzi.
 
Awamu za nyuma za Analogy mambo haya yalikuwa magumu leo ni digital amtaje asimtaje watu watajua tu tangu akiwa Nida lkn pia huyo ni DG tiss si mtu anayehitajika kuwa covered ila siku akiwapanga watumishiwa tiss na kuwaarika kwa chakula ikulu kama alivyofanya na trafiki hapo ndio itakuwa issue mbaya maana wanatakiwa kuwa covered ili wafanye kazi japo wengine kama wale special group linalovaa suti mbele ya kamera. Lakini wauza magazeti na mchicha ;bodaboda manesi engineers nk walio kitengo hao hatakaa awataje si tu kuwataja wengine hatakaa awajue lkn huyo DG aweza hata kuhamia hata Sumatra asilete madhara hata kuwa opposition leader sema akikiuka masharti tu anaingia saverhouse
..... safe house ......
 
' Nyota ' yangu Kali na ' iliyobarikiwa ' inakutesa na nakuhakikishia itakutesa sana hadi utapasuka kabisa Ufe. Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongozwa Kukodolewa / Kutizamwa hadi na alipo Mkuu wako anayekuongoza Tanzania ' Magogoni ' pamoja na Watendaji wake wote mbalimbali.

Na kama haitoshi pia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ya GENTAMYCINE ndiyo inaongoza kwa Kujadiliwa na wakati mwingine hata kutumiwa kama ' Reference ' katika ' Mada ' fulani katika Taasisi mbalimbali za ' Kitaaluma ' hapa nchini huku Wanafunzi wengi wa Vyuo wakiwa ' wanavutiwa ' nayo vile vile.

Nakuongezea zaidi ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE ambayo unaichukia ndiyo inaongoza kwa Kufuatiliwa na Wanahabari wengi tena hasa wale ' Wachambuzi ' wa mambo mbalimbali na hata Gazeti lako la TANZANITE kuna taarifa zake kadhaa imewaandikieni baada ya Kuchukua kila Kitu kutoka Kwangu ( Maudhui yangu hapa JamiiForums )

Na ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukia ndiyo inaongoza kwa ' Mabandiko ' yake mengi kutumiwa kama ' Kivutio ' cha ' Story ' na Mitandao mingine mbalimbali na kuna hadi mingine kwa Kuniheshimu, Kunitambua na Kujua ' thamani ' ya uwepo wangu hapa huwa pia wananitaja mwishoni mwa taarifa zao hizo.

Nakumalizia ni ' ID ' hii hii ya GENTAMYCINE unayoichukua ndiyo inaongozwa kutumiwa mno na Mtangazaji na Bosi wa Radio One Ndugu Deogratius Stephen Rweyunga hasa katika ile ' Segment ' yake ya Habari ' Nyepesi Nyepesi ' ambapo amekuwa mara kwa mara akipenda sana kuchukua ' Vituko ' vyangu vya hapa Jamvini na kuvitumia katika ' Kuwahabarisha ' Wasikilizaji wake.

Na ili uone kuwa ' Nyota ' yangu ni Kali na ' imeshabarikiwa ' na Mwenyezi Mungu hata GENTAMYCINE nikianzisha ' Thread ' gani iwe Mbaya, ya Kipuuzi, ya Kitoto au ya Muundo wowote ule bado tu itapokelewa na ' Kuchangamkiwa ' vile vile na Wadau. Hata Mimi sikupenda na sijapenda niwe ' Maarufu ' hivi ila nimejikuta tu nipo hivi halafu nasikitika ni kwanini Mwenyezi Mungu alinipendelea na Kukusahau Wewe Popoma / Pumbavu.

Huyu ndiyo GENTAMYCINE " Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ". Naomba ujumbe huu hakikisha unawafowadia na wale ' Wapuuzi ' wenzio wote ambao huwa nawashangaa mnasema na mnaonyeshwa ' Kuchukizwa ' nami na uwepo wangu hapa Jamvini 24/7 lakini ndiyo nyie nyie mnaongoza Kukodolea / Kuangalia ' threads ' zangu hapa JamiiForums bila kusahau ' posts ' zangu wakati mkijua kabisa kuwa zipo ' threads ' nyingi tu na ' Majukwaa ' mbalimbali.

Ninapokuwa nawadharau na kuwaambieni kuwa HAMNA AKILI msiwe ama mnakataa au mnabisha kwani nipo sahihi kabisa.
Kapi tupu aka debe tupu..kelele uwa mingi ..mweredi mwenye ungwana timilifu usifiwa KAMWE awezi kuwaza jisifia wala kujisifia
 
Mi sioni shida kumtajataja kwa sababu anamteua mwenyewe na anapomteua vyombo vya habari huwa vinatuhabarisha so kutomtaja haisaidii watu kutomjua kwa sababu mtu akiwa na lengo la kumjua atamjia tu tena ndani ya dakika moja.
 
Back
Top Bottom