Mheshimiwa Rais unalipa mishahara bure Kuna watu hawafanyi kazi

Mawazo hayapigwi rungu! Insta ndio takataka gani au unafikiri Kila mtu yuko insta? What you have wished to me is coming to you now!
 
utakuwa huna kazi wewe, serikalini penyewe ule ni mshahara au posho tu
 
Mtoa mada na kamati nzima ya roho mbaya ina maana hamuoni serikali inavyofanya kazi? Watumishi wa umma sio wote wavivu kuna wanaochapa kazi haswa na masaa Zaidi yaliyopangwa
 
Afrika ndo maana hatuendelei kwa uchawi.Ebu fikiria mchana wote huu unawawangia wenzako wasilipwe mshahara kwakua ww ni jobless.Sijui unatokea kijij kile ambacho ukijenga nyumba ya bati unalogwa
 
Labda katibu mkuu kiongozi wa kata ya kibororoni.
Anapenda kujipaisha ili tujue kuwa katibu mkuu kiuongozi anafikiwa kiurahisi kwa issue ndogo za kumalizwa na mtendaji wa mtaa!
Kujipaisha waachie wahaya, wewe msukuma utaharibu Kama hivi ulivyoharibu kuandika "kukoswa"!
 
Kwa hiyo wakiajiriwa miaka 15 hawatakaa bure? na wewe kajaribu kuajiriwa ili ukakae bure..teh
 
Kwanza ujue halipi yeye. Ni hela za umma. Na umma sio Rais wa nchi.

Hii misconception inazidi kuota mizizi. Tujikomboe na fikra mbovu.
 
Mkuu tusaidie kuhusu mikataba ya kazi Mahakama ikoje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi umeshawahi fikiria maana ya kufanya kazi kwa bidii? Labda wadhani wanaopaswa kufanya kazi kwa bidii ni waajiriwa wa serikali tu. Kumbe hata wewe hapo ulipo unapaswa ufanye kazi kwa bidii. Lakini je, hapo ulipo wafanya kazi kwa bidii? Au umejichimbia kwenye internet. Acha kuangalia wenzako. Toa kwanza boriti iliyoko jichoni mwako.

 
una akisi akili za watanzania walio wengi,Mtu wa kwanza kwenye utumishi wa umma ni huyo huyo Rais-huko uliko enda ukaona uhudumiwi vizuri bado ni matunda yanayotokana na huyo huyo Rais.Sasa wewe unachofanya ni kuahamisha maji kutoka kwenye Bahari na kuyarudisha ziwani.
 
Umenena vema
kweli suala la muda wa kustaafu liangaliwe upya.Wazee miaka 60 mpaka anaomba asaidiwe majukum yake, hatari!!

Sent using Jamii Forums mobile app

[emoji23][emoji23]
Hiyo miaka 60 mbona bado sana
Yaani hapa mimi bado sana kama afya itaruhusu. Sema Amiin


Sent from my iPhone using Tapatalk
 
Afrika ndo maana hatuendelei kwa uchawi.Ebu fikiria mchana wote huu unawawangia wenzako wasilipwe mshahara kwakua ww ni jobless.Sijui unatokea kijij kile ambacho ukijenga nyumba ya bati unalogwa
jipangeni tuu hii iko kwenye pipeline baada tu ya miezi kadhaa utakuja hapa kuniuliza ulijuaje... tukana sana lkn habari ndio hiyo anza kujiandaa kisaikolojia scheme of service zote zinapitiwa upya na mikataba ya ajira. utajua kuwa mimi ni jobless au jobcreator. narudia jipange usije lilia watu muda si mrefu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…