Mheshimiwa Rais unalipa mishahara bure Kuna watu hawafanyi kazi

umesahau kwenye umeme kuna miundombinu chakavu sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pimbi ww unamtisha mtu usiyemjua....what a foolish fool
 
Pimbi ww unamtisha mtu usiyemjua....what a foolish fool
eti mtu usiemjua!!!! who are you by the way, sasa mitusi ya nini kama huogopi. badala ya kuchangia unatukana tukana alafu eti mtu usiemjua....! nisiowajua huwa hawaogopiogopi kama ww. by the way sio saizi yangu siwezi kukujibu zaidi ya hapa endelea na uharoo.
 
Unajua pension ya serikali kanuni inayotumika kulipa?
Serikali itaingia gharama kubwa zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We pimbi sina muda kujibizana nawe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…