Tunaposhangilia wanawake waliofanikiwa! Tusiwabeze waliopigwa na maisha kwa kukosa nafasi za uteuzi au ajira!
Tusiache kuwapongeza hawa wanawake waliotemwa na mfumo kwa kugomea rushwa ya ngono!
Hawa watu wamekubali kufa na Yesu mlabani! Lakini wakiamua kutoa ya moyoni Dunia itachafuka!
Baadhi ya Mambo wanayokutana nayo kwenye teuzi na nafasi za kazi Mungu pekee anajua!
Tusiache kuwapongeza hawa wanawake waliotemwa na mfumo kwa kugomea rushwa ya ngono!
Hawa watu wamekubali kufa na Yesu mlabani! Lakini wakiamua kutoa ya moyoni Dunia itachafuka!
Baadhi ya Mambo wanayokutana nayo kwenye teuzi na nafasi za kazi Mungu pekee anajua!