Mhimili mmoja umeweka roboti, mihimili mwingine mnasubiri nini?

Mhimili mmoja umeweka roboti, mihimili mwingine mnasubiri nini?

Huu ni ujuha na ushamba narudia kuandika. Wangenunua drone za mashambani na zana zingine za kisasa za kilimo ili kukuza sekta ya kilimo kwa kuzalisha mazao mengi shambani wangeonekana wa maana kuliko kuleta kituko hicho bungeni. Hilo robot walipeleke sehemu nyingine linakostahili kuonekana huko, hapo bungeni ni kichekesho tu
 
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake

Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.

Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.

Ukitazama robot ukaishia hapo ujue kuna shida mahali!

Robot Hilo linamaanisha huko tuendako (miaka 5-10), binadamu wote tutakuwa wageni humu Duniani.

Hivyo, Robot maana yake,wanadamu tujiandae maana hatujui tuendako. Technological revolution ni zaidi ya industrial revolution.
 
Ukitazama robot ukaishia hapo ujue kuna shida mahali!

Robot Hilo linamaanisha huko tuendako (miaka 5-10), binadamu wote tutakuwa wageni humu Duniani.

Hivyo, Robot maana yake,wanadamu tujiandae maana hatujui tuendako. Technological revolution ni zaidi ya industrial revolution.
Basi wataomba kura kwa hayo maroboti yao
 
Kwanza tujue limenunuliwa wapi, japan, amerika, china, india au korea na je likiharibika wataalamu wa kulitengeneza wapo, au litapelekwa nchi lilikotengenezwa likakarabatiwe huko au litaletwa jingine? Kama nchi tuache ushamba na ulimbukeni wa kufakamia teknolojia na kuzitumia mahali pasipostahili tutonekana ni majuha
Huenda limetengenezwa Rwanda na huenda likapelekwa Visiwa vya Ngazija likawekewe girisi kwenye mikono ili lilainike.
 
Kabla ya kuchangia, nielimishwe kwanza kazi ya hilo roboti ni ipi hapo mjengoni
 
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake

Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.

Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Kwa bunge letu la sasa, nafuu huyo Robot.
 
Back
Top Bottom