Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimetaka kujua kazi ya kile kinyago. Usinitoe kwenye hoja mkuuNdugu yangu
Huko tuendako, uchumi na huduma za kijamii zitatumia Robot kwa karibu 90%.
Muhimu kujipanga namna ya kuishi nazo. Tuwe sehemu ya robot lifecycle.
Ni hayo Tu
Hawashindwi kuleta container la hayo matoy.Wameleta robot moja tu au yapo na mengine? Ngoja tumuambie mbunge wetu kuwa tutakuwa mgeni wake bungeni kumbe sie lengo letu ni kwenda kushangaa hilo robot
Lile toy lileeee....Hivi litakuwa na kazi ya kuwasalimia wabunge?
Wamejivua nguo tenaCcm na hicho walichokiweka hawana tofauti
Liitwe tulinape. Tulinape haelewekiRobot limepafom chini ya kiwango... yaani aliko advanced kabisa..
Eti wanasema ni mambo ya artificial intelligence au AKILI MNEMBA.Yaani mnanunua Robot na kujisifia kwa mbwembwe
Nilifikiri vijana wa form 6 ndio wametengeneza
Hata gololi China aisee
Lete picha tuuone huo mdoli mkuu.Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Wewe umeliona mkuu? Hebu litupie hapa tulione soteEti wanasema ni mambo ya artificial intelligence au AKILI MNEMBA.
Akili zao zina minemba
Yani nimejaribu ku attach imegoma mkuu. Moderators wasaidie kuwekaLete picha tuuone huo mdoli mkuu.
Eti Ummy nae anataka hayo matoy yafanyie watu upasuaji.ata kama umezaliwa na unaishi Tanzania
naomba nikuambie karibu tena Tanzania kaka jisikie upo kwenye kero
Please come back MagufuliKuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Unalalamika bila facts, ndio shida ya watanzania wengi. Lilietwa pale kama tech demo, na si kwa matumizi yoyote hatujafika hukoKuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Ulicholeta ni opinion sio fact!Unalalamika bila facts, ndio shida ya watanzania wengi. Lilietwa pale kama tech demo, na si kwa matumizi yoyote hatujafika huko