Mhimili mmoja umeweka roboti, mihimili mwingine mnasubiri nini?

Mhimili mmoja umeweka roboti, mihimili mwingine mnasubiri nini?

Wameleta robot moja tu au yapo na mengine? Ngoja tumuambie mbunge wetu kuwa tutakuwa mgeni wake bungeni kumbe sie lengo letu ni kwenda kushangaa hilo robot
 
Ndugu yangu

Huko tuendako, uchumi na huduma za kijamii zitatumia Robot kwa karibu 90%.

Muhimu kujipanga namna ya kuishi nazo. Tuwe sehemu ya robot lifecycle.

Ni hayo Tu
Nimetaka kujua kazi ya kile kinyago. Usinitoe kwenye hoja mkuu
 
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake

Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.

Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Lete picha tuuone huo mdoli mkuu.
 
ata kama umezaliwa na unaishi Tanzania
naomba nikuambie karibu tena Tanzania kaka jisikie upo kwenye kero
Eti Ummy nae anataka hayo matoy yafanyie watu upasuaji.
Ummy kapasuliwe wewe kwanza na wenzako hapo wizarani. Hapo hata dk. Janabi humshawishi
 
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake

Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.

Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Please come back Magufuli
 
Robot amekaririshwa hana response anapoulizwa vitu vingne na waandishi wa habari. Nimeangalia clip jinsi Gerald Hando anavyoteseka nalo.
 
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake

Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.

Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Unalalamika bila facts, ndio shida ya watanzania wengi. Lilietwa pale kama tech demo, na si kwa matumizi yoyote hatujafika huko
 
Back
Top Bottom