Wanatudharau sana
Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.
Tatizo la afya ya akili linazidi kujidhihirishaNimeamini taifa halina vijana.
Mkuu pole sana naona wamekuudhi hao wahujumuNa hatuna cha kuwafanya kumamake
Basi wataomba kura kwa hayo maroboti yaoUkitazama robot ukaishia hapo ujue kuna shida mahali!
Robot Hilo linamaanisha huko tuendako (miaka 5-10), binadamu wote tutakuwa wageni humu Duniani.
Hivyo, Robot maana yake,wanadamu tujiandae maana hatujui tuendako. Technological revolution ni zaidi ya industrial revolution.
Mwanasesele.Toy au robot?
Huenda limetengenezwa Rwanda na huenda likapelekwa Visiwa vya Ngazija likawekewe girisi kwenye mikono ili lilainike.Kwanza tujue limenunuliwa wapi, japan, amerika, china, india au korea na je likiharibika wataalamu wa kulitengeneza wapo, au litapelekwa nchi lilikotengenezwa likakarabatiwe huko au litaletwa jingine? Kama nchi tuache ushamba na ulimbukeni wa kufakamia teknolojia na kuzitumia mahali pasipostahili tutonekana ni majuha
swali jingine - ni la kike au la kiume au ni jinsia ya tatu?Huenda limetengenezwa Rwanda na huenda likapelekwa Visiwa vya Ngazija likawekewe girisi kwenye mikono ili lilainike.
Hapo kunakitu hakukosea"We are electing idiots to lead us."- Professor Lumumba
Hao waliolipeleka pale wenyewe wanashangaaKabla ya kuchangia, nielimishwe kwanza kazi ya hilo roboti ni ipi hapo mjengoni
Duh! Mbona kazi ipoHao waliolipeleka pale wenyewe wanashangaa
Sura jike, mabega na kifua dume na njipanda bado panaendelea kuota japo kachipukizi kameanza vigumu kujua kama lenyewe au kale ka mashamushamu.swali jingine - ni la kike au la kiume au ni jinsia ya tatu?
Unaambiwa litakua nyumbani kwa NN hadi bunge litakalofatiaHuo mtambo bunge likimaliza vikao vyake wanupeleka wapi?
Acha kuwaza kinyonge, tunao uwezo wa kuliiba na kuliteketeza kwa moto hilo limdori lao.Na hatuna cha kuwafanya kumamake
Kwa bunge letu la sasa, nafuu huyo Robot.Kuna lidude limewekwa bungeni nimeona hata wabunge wenyewe wanashangaa.
Zaidi ya upigaji kwa aliyelileta je roboti lile MDEBWEDO linamanufaa gani kwa bunge?
Kama manufaa yapo basi Serikali iwekwe roboti Ikulu na mhimili wa mahakama uweke lakwake
Mhimili wakusimamia rasilimali za nchi umekua kielelezo cha ufujaji. Nimeona hata baadhi ya mawaziri wanashangaa. Unaweza ukakuta hata wao hawajui nani amepeleka hilo toy bungeni.
Hii ni aibu kubwa. Spika aibu yako kwa niaba ya bunge. Umeudhalilisha mhimili. Kama kunajambo ambalo limekitia doa nihuo mdoli uliouweka hapo.
Aliyependekeza liwekwe pale au auziwe akaweke kwake limsaidie na familia yake.