48Milioni ngapi?
Poa mkuuHiyo nyumba inayouzwa ungeweka picha na details nyingine kama ukubwa wa kiwanja, hati ya nyumba n.k
Chumba cha sh.ngapi mkuu,chumba cha kawaida kabisa ni elfu hamsini,sitini,vyoo vinakuwa vya nje,Tegeta msichoke huko sipati vyumba nataka kumpangia mdogo wangu anasoma chuo mkuu
nata cha elfu 50 mkuuChumba cha sh.ngapi mkuu,chumba cha kawaida kabisa ni elfu hamsini,sitini,vyoo vinakuwa vya nje,
Chumba cha choo ndani bei kuanzia laki moja,laki na hamsini,
Maeneo hata kule mji mpya kwa chini kuanzia j.k.t,skanska na huko tegeta pia...
Ukiwa tayari tuchekiane,nata cha elfu 50 mkuu
Ok poa mkuu
Ngojea nijaribu kukuulizia,cha bei ganiKiasi hicho hicho kwa master location kama Mwenge inawezekana au huku hauna connection?
80K - 100KNgojea nijaribu kukuulizia,cha bei gani
Ok80K - 100K
Bado unaitaji kuna dalali nimpe namba yako, unitext, ili akuonyeshe iko chumbaKiasi hicho hicho kwa master location kama Mwenge inawezekana au huku hauna connection?
Mkuu vipi namba yako naipataje?!!Bado unaitaji kuna dalali nimpe namba yako, unitext, ili akuonyeshe iko chumba