Mhitaji wa chumba/nyumba/maeneo ya kuanzia Mbuyuni hadi Tegeta

Kiasi hicho hicho kwa master location kama Mwenge inawezekana au huku hauna connection?
mwenge kuna vyumba vya laki moja kweli si kwa kishua kule , mi mwenyewe nataka mwezi wa nne nije kuangalia nyumba maeneo hayo ya mwenge hadi tangi bovu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…