Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

polisi walitakiwa kumpeleka hospitali kwa matubabu ya msongo wa mawazo
 
Hao wengi wao wakiwa chuo wanatembea vifua mbele wakiamini wakimaliza tu ni ajira..rafiki yangu alidunda mtaani miaka mitatu na degree yake ya uchumi aliyoipata kwa shida sana pale saut kutokana na hali duni ya wazazi wake..leo hii yupo ofisi ya makamu wa rais..sasa angejiua ingekuwaje.. huyo ameathiriwa na ukosefu wa pesa za pombe alizojifunzia kunywa chuo kupitia boom.
 
Msomi huyo.
R.I.P.
Ila komputer studies unaweza ukang'amua kwenye theory ila kivitendo kama haujui ni haujui, sio kama sheria unaweza zuga na vijimaneno watu wakakuona kichwa kumbe hamna kitu.
 
Bwana ametoa na bwana ametwaa...ss ndugu zako wa sayansi ya kompyuta tutaendeleza mapambano ya ajira
 
Kwa sasa kampuni yako/yenu inapumilia mashine , mpaka 2020 labda utakuwa na wewe umeanza kuelewa maamuzi ya Ally, RIP Ally
 
Hawachelewi kumwita mchochezi
 
Mungu amuondolee adhabu zoote
 
Moja,Hana ajira hana pesa ila kalewa chakali.

Pili, polisi siku hizi wanakamata walevi na kuwasweka ndani?? Pombe zikiisha wanarudishwa majumbani.
 
Hivi ukiwa na degree kama hiyo yake uende wizarani au kampuni yoyote uombe kazi ya kujishkiza mshahara uwaombe laki 3 per month hupati kweli ajira ?
Kuna kampuni ambayo ukiwaomba mshahara hata wa laki 2 na accomodation watakataa ?
Usijitoe akili, eti uende wizarani, uombe kazi utaje na mshahara ili wakupe kazi, unadhani ni rahisi tu kama unavyotamka
 
Aliyumba tu !watu tumekosa ajira lakini hatuna wenge na bado tunadunda na umasikini wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…