Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
So unachotaka kusema ni kuwa mtu ukiwa huna hela ya pombe ndio unastahili kujiua ??Naweza kuwa nimekabili hali ngumu kuliko hata huyo jamaa.
Yani yeye hata hela ya pombe alikuwa nayo..
Na elimu alikuwa nayo... So tumaini pia lilikuwepo.
usiseme kakosa kufundisha chuo vyeti vya diploma kama GPA haikuwa 3.8 and above unadhani ungefanya vipi application.Lakini bado amekosea sana kuutoa uhai wakeComputer Science Graduate wa Mlimani kashidwa hata kupata kazi ya kufundisha kwenye hivi vyuo vya Diploma na Certificates? maana vyuo vingi vinahitaji waalimu wa IT; sina uhakika kama hata walimu hawa wameshajaa kote.
Hapa hapo tuseme Bwana ametwaa? Unless kuna sababu nyingine lakini kama ni ya kukosa ajira si uamuzi sahihi.
Mwenyewe nimeshangaa sana huyu mtu, imgekuwa ni rahisi hivyo sidhani ka mtaani kungekuwa na jobless, wakat private sector kila siku zinapunguza watu, ye anasema eti uende wizarani utaje mshahara upewe kazi, bila kutangaza nafasi za kaziHivi mkuu unaishi Tanzania gani hio ambayo eti unaenda wizarani tu unawaambia nipeni kazi mshahara laki tatu??
Kuingia tu geti la wizara hayo maswali utakayopigwa hapo mlangoni na walinzi hautarudi Tena aisee.
Nadhani haujawahi kwenda wizara yoyote hapa nchini.
Tunaongelea wataalamu wa computer science mkuu. Ukiweza kutatua shida za watu na kuwarahisishia maisha yao basi hao watu watakufanya uwe tajiri bilioneaWaende google playstore, download metatrader 4, wajifunze na Demo account. Baada ya miezi michache, Wakiwa tayari wajiunge na real account iwe ajira yao ya kudumu.
Sio rahisi kama ulivyoandika,tushawah omba volunteer full time buuure kabisa yan hautulipi chochote na bado tukakosa vile vile.Hivi ukiwa na degree kama hiyo yake uende wizarani au kampuni yoyote uombe kazi ya kujishkiza mshahara uwaombe laki 3 per month hupati kweli ajira ?
Kuna kampuni ambayo ukiwaomba mshahara hata wa laki 2 na accomodation watakataa ?
So kwa hii akili unayoionesha humuunapenda na hapa iwe hivo sioNimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua kwa kujichoma moto baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia, kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga (street vendor) kutokana na kukosa ajira, tukio liliopelea maandamano ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu(Arab Spring) kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia,Ben Ali na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Mkuu kuna wadada wadangaji ukiwaanbia ugumu wa maisha hawaelewi kabisa. Kazi kunanga watu mitandaoni. Ukute anachomiliki ni Tako, Simu ya tecno au G-Tide na Danga la ambalo ni mume mtukufu wa MTu.MKUU KILA NIKIIINGALIA HII COMMENT HUWAGA SINA MBAVUUUUU[emoji23][emoji23][emoji23], AMA KWELI WATZ WAMEVURUGWA, mkuu uliwaza nn kabla ya kucomment hahahaha
AiseeSio rahisi kama ulivyoandika,tushawah omba volunteer full time buuure kabisa yan hautulipi chochote na bado tukakosa vile vile.
Issue ni kuwa hizo hela alizokuwa akipata kwa nini aliamua kulewea badala ya kufungua hata genge, baba nitilie au muuza mitumba kwa nini alikuwa akilewea?Inasikitisha sana watu wanaongea kimzaha mzaha eti kwanini asingejiajili
Mtaji angetoa wapi? Hata Desktop Computer yahitaji pesa.
Kusema kuwa Marehemu alikuwa ni Chizi ni kumkosea heshima.
Ukweli alikuwa na Depressions, Msongo wa Mawazo ulimsumbua Wanaojua Psychology watatuambia kuliko Hao waswahili hapo juu wanaodakia maneno bila kujua marehemu alipitia mangapi?
Kumjudge mtu bila kujua yamemsibu mangapi ni upimbi uliopitiliza. Musiisemee nafsi ya mtu huenda kuna yaliyomkuta zaidi ya hayo mliyosikia
La muhimu ni kumuombea tu uko aendako apate pumziko la amani kuliko kumkejeli kwa uamuzi aliochukua.
Zinatangazwa sawa, ila huko walikotangaza kuna unaemfahamu?Mbona kila siku zina tangazwa? hahahaha
VACANCIES ANNOUNCEMENT (STAMICO, TPB, DMI, MNMA, MUCE, TICD & TIB) 7 December, 2018
VACANCIES ANNOUNCEMENT(Presidential Trust Fund) 11 December,2018
TANGAZO LA KAZI (TAWA) Tarehe 12 Desemba, 2018.
VACANCIES ANNOUNCEMENT (TRC,WI & CPB) 12 December, 2018.
TANGAZO LA KAZI (ORCI, TSHTDA, TIA, MNMA)17,DESEMBA.2018
Labda kwa kuwa ni Tanzania yetu mkuuHivi mkuu unaishi Tanzania gani hio ambayo eti unaenda wizarani tu unawaambia nipeni kazi mshahara laki tatu??
Kuingia tu geti la wizara hayo maswali utakayopigwa hapo mlangoni na walinzi hautarudi Tena aisee.
Nadhani haujawahi kwenda wizara yoyote hapa nchini.
nyokoloChadema toeni tamko. Makamanda tunangoja.
Mkuu madai ni kwamba kajiua kwa kukosa ajira.So unachotaka kusema ni kuwa mtu ukiwa huna hela ya pombe ndio unastahili kujiua ??
Hivi unaelewa maana ya depression ?? Huu ugonjwa huwa hauchagui tajiri au masikini. Marekani huko depression inaua watu kila uchao. Depression imepelekea huko marekani mpaka watu wanashambulia wenzao kwa bunduki wanazomiliki kisha wengine kujiua.
Tatizo ni kwamba nchi zetu za kifukara mambo kama haya huwa hawayatilii maanani kama wewe unavyotumia hoja mfu kuongelea hili suala. Badala ya kujikita kwenye ISSUE zilizomuua Mmejikita kwenye WASIFU wa marehemu.
Pale kichwa kinapobaki na kazi ya kuvaa mawigi badala ya kufikiri.Siemens C25