Kusema ukwel komputer science ni moja ya kozi niligundua ningeweza tengeza ajira nyingi sana,lkn ndo hivyo Umri umeenda, kwani naona fani sio tu ni nzuri lkn ina potential nyingi sana hasa kipindi hiki Cha sayansi na technology kwenye utawala Huu wa jiwe..issue ya huyo Musa ni nzitoo, kwa Sababu walio wengi pia hatujui background yake, ni kitu Gani alikuwa anapitia ...wanajamiiji forum tujifunze kutokudge vitu ambayo hatuvijui ukwel wake hasa inapotokea issue ya mtu kujitoa uhai..kukosa ajira sio suala dogo kama wengine wanavyofikiria..na kama hujawai pitia kipindi hicho unaweza sema lolote unalojiskia. Kwa kusema hivyo sio kwamba nakubaliana na maamuzi ya Musa hapana, Maamuzi aliyofanya Musa sio sahihi na nahisi alikosa exposure kama wengine walivyosema. Lkn pia inawzekana alikosa mtu wa Karibu kumfariji na kumtia Moyo... kwa mpande mwingine, Kuna wasiwai sana juu ya ukaribu wake na Mungu wake kwani kipindi Cha ukosefu wa ajira usipokuwa Karibu na Mungu wako unaweza fanya chochote, stress is one of the very bad disease, trust me kama hujawai pitia hutaelewa hii.
Hii iwe ni changamoto kwa serikali,kwamba Kuna bomu linatengenezwa...serikali isipo isipo jipanga vizuri na kila siku kupanda majukwaani kudanganyana, Mambo makubwa Zaid yanakuja..
Nawasilisha.