Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Pole sana kwa Wafiwa na Marehemu. Binafsi naona somewhere kuna tatizo. Aliejiua kwa kukosa ajira aliweza kupata pesa ya kununua Pombe!
 
UJUE KILA MTU ATAONGEA LAKE LAKINI UKWELI NI KWAMBA AHADI YAKE ILISHAFIKA

MUNGU AILAZE ROHO YA MAREHEMU MAHALA INAPO STAHILI
 
2015-2018 only 6000+ people out of 580000+ were employed making more than 98% graduates unemployed and only >2% employed....this is the biggest tragedy ever happened in Our country...the secret is that, the government wants to make history in Contructing Roads, Railways, H.EP's, and other expensive infrastructures plus buying of Aeroplanes.while the majority of people are suffering from life hardships i.e due to mass unemployment. Guys!! We need to make some immediate reforms, 2020. Stone must leave the office.
 
Kweli mkuu
Tujaribu kuwa wanadamu.
 
Omba ya sikufike
 
Wote tuliokosa mtaji tujiue?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…