Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mtu unasoma Computer ukifungua Blog wanataka uilipie Kodii... Ukifanya biashara online wanataka Kodiii.. Mwisho wa siku Unaanza kuiba sasa na kutuma zile msg za mpesaa sijui Ile hela tuma kwenye namba hii.. Non sense...
Mkuu, ebu niambie wanakofanya biashara bila kulipa kodi, ningependa kuhamia huko.
 
Kuna kitu nina niambia kizazi cha sasa kina madhaifu na uwezo mdogo sana wa kudeal na magumu ya maisha.....

Sasa kama vijana wameanza ku'commit suicide katika umri huu mdogo unategemea nini kitaendelea baadae katika maisha....

Dah serikali kupitia wizara ya ustawi wa jamii na maendeleo ya jamii hebu tafiti zianze mara moja kujadili mustakabali wa hii jamii....
Mbona wakina mkwawa walijiua, nao ni kizazi cha sasa?
 
Bado haijustify sababu zake za kujiua. Ni km vile aliamini ni lazima apate ajira. kwani hakuwa akiona wenzake wanaomaliza chuo wanakosa ajira? Ndio maana nikasema alikuwa ana matatizo mengine..yawezekana ya kiakili yakapelekea yeye kujiua.
Kwani lazima u-comment upuuzi hayo matatizo ya akili umempima wewe ni doctor?Kuna sababu gani yakua na Serekali?
 
RIP Kijana Ally.
Mungu aiweke tuu roho pema peponi.
Haya ni matokeo ya watu kuvamia fani, kwenye ulimwengu huu wa compyuta, mtu una degree ya computer science unasubiri kuajiriwa?.

Kifo hiki ni wake up call vyuo vyetu vikuu vipunguze kufundisha theory, twende kwenye kufundisha skills mtu akihitimu anakuwa equipped with skills na kujiajiri badala ya kutegemea kuajiriwa.

Kwenye masomo technical tufuate system ya Ujerumani ya apprentiship au uanagenzi, watu wakimaliza shule wanaanzia apprentiship program wakiisha
onyesha uwezo ndipo anaripoti chuo.
P
Hivi mkuu ina maana hujui kitu kinaitwa mtaji ?anaweza kuwa na mawazo lakini pesa
 
Sasa ndo maana vijana wanaona serikali haina msaada...!! huwezi kata kodi mpaka kwenye matangazo ya Biashara ya Instagram... Maana ile bidhaa anayouza tayari kuna kodi imekatwa muleee so haileti sense kabisa bidhaa moja ulipe kodi mara mbili...
Mkuu, ebu niambie wanakofanya biashara bila kulipa kodi, ningependa kuhamia huko.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Maisha magumu balaa.. yani unaenda kununua kitu shop mtu anakuomba risiti aandike 30000 akati bidhaa 300000..
Kwenye kampeni zao walisema wataondoa kodi za kero sijui walikua na maana gani mtaa kugumu sana tuache ushabiki kwakila jambo
 
We unachukulia easy sana haya maisha eeh! Leo hii aliesoma na ku graduate degree hana tofauti na mtu wa la saba. Kazi hamna lazima u hustle sana kupata chochote kitu. Ikibidi kwa kazi ambazo sio proffession yako kabisa
Kiongozi nadhani hawalijui hili kama sehemu tu ya kufanyia field practical/ ya kujitolea tu inakuwa ni shida kuipata sembuse hiyo ya kujishikiza? hivi wadau wanapolalamika kwamba ajira zimekuwa ngumu wenzetu hawa sijuwi hawaoni hali halisi ilivyo.
 
Back
Top Bottom