Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Unaweza kuwa kwa sasa umejiajiri na umeajiri lkn baada ya kuajiriwa kwa miaka kadhaa. Suala la kujiajiri ni mchakato na kikwazo kikubwa in mtaji.

Wala tusiutupie lawama mfumo ama ubora was elimu yetu. Ndiyo maana hata Ulaya na Marekani ambako ndiko tuliiga, ajira zinaliliwa na wahitimu.

Kijana kamaliza chuo, hana chochote na familia yake ni hohe hahe atasimama vipi ajiajiri?
Ukirejea mwanzo nilikuambia jambo moja kuwa ukiwa na uelewa wa kutosha wa tatizo la ajira jinsi lilivyo lazima ufanye maamuzi mawili.

1). kujiandaa ama kuanza kutengeneza mazingira binafsi ya kuanza kufanya vitu vidogo vidogo & mbalimbali ili angali ukiwa ngazi ya chini (kitu ambacho nilikifanya na kujikuta sihitaji wala kufikiria kuajiriwa baada ya kuhitimu mpaka leo hii).

2). kujiandaa kisaikolojia juu ya hali halisi utakayo kumbana/pambana nayo kipindi bado unatafuta ajira, kama umejiona huna uwezo wa kujiajiri & ajira ni hitaji lako kuu.

N.B: Sijawahi ajiriwa.
 
Ndio tatizo letu watu wanasoma ili waje kuajiriwa sio kujiajir..tena cha ajabu hapo unaweza ukakuta alikua anamiliki simu ya laki tat ambapo pesa hiyo inatosha kujiajir
 
Ukirejea mwanzo nilikuambia jambo moja kuwa ukiwa na uelewa wa kutosha wa tatizo la ajira jinsi lilivyo lazima ufanye maamuzi mawili.

1). kujiandaa ama kuanza kutengeneza mazingira binafsi ya kuanza kufanya vitu vidogo vidogo & mbalimbali ili angali ukiwa ngazi ya chini (kitu ambacho nilikifanya na kujikuta sihitaji wala kufikiria kuajiriwa baada ya kuhitimu mpaka leo hii).

2). kujiandaa kisaikolojia juu ya hali halisi utakayo kumbana/pambana nayo kipindi bado unatafuta ajira, kama umejiona huna uwezo wa kujiajiri & ajira ni hitaji lako kuu.

N.B: Sijawahi ajiriwa.
Mkuu umenena.
 
Amekufa akiwa baado kijana mdogo ameshindwa kuitumia elimu yake ya chuo kujikwamua kimaisha ndio matatizo ya kusoma ukitegemea kuajiriwa
 
Mbona huwa wanasema kuwa wahitimu wa UDSM huwa hawakosi kazi kwakuwa ni marketable sana???
 
Kuna pombe za sh 100 zinaitwa wanzuki
Kuna watu hawajui uba
Kama maisha ni easy kwako, usidhani kwa kila MTU ndo yako hivyo, pia tunatofautiana uwezo wa kuvumilia stress, ewe demi, umaskini ukikuvalia njuga utakosa hadi bando la kukuwezesha ku-post jf, utajiajiri na mwishowe biashara itafeli, na kuingia kwenye madeni makubwa..utafanya kazi kama punda lkn hutosogea kimaendeleo demi
Nikweli bishara nyingi mtaji unaka
Hasa hasa huyu anaejiita demi, utakuta ni slay queen anaekula na kujamba kwa wazazi wake..akishatoa kunduchi kwa madanga yake mawili na kupewa hela ya kula bhaaas maisha kwake anayaona ni marahisi rikiboy
Anajidanganya
Ulikuwepo unashuhudia?
Kwakutumia pima macho umeisha uza mechi nyingi sana za ugenini na nyumbani kuuza mechi nisawa na kujilipua kaa kimya acha kubeza kila jambo
 
Kama kwa sasa mtu anasoma ili kujiajiri basi haina haja ya kwenda hata chuo,hiyo pesa ya ada wazazi wafanye kama mtaji.

Umesoma ili uwe Doctor unamaliza halafu eti ujiajiri,ufungue hospitali ama?[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Bongo vituko huwa haviishi hasa hii ya vi-Wonder.

Awamu hii ya tano heri kusiwe na wasomi maana tayari kuna ukaririshwaji eti "mjiajiri' ,halafu wanaoropoka upuuzi ni waajiriwa[emoji23] [emoji23]

Ilufugam in inatehs
 
Back
Top Bottom