Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Jamani sijui nini kijana wawatu kapata na kajirusha kutoka ghorofa ya tatu jamani nimejiuliza sijui nini kimetokea jamani .
Kimeniuma couze bado ni mdogo sana.
Jamani mnadhani nini haswa kimemsibu?
Nyie ndio mnaochangia
 
Wana Jf mtu nimeuliza swali jeupe nimepewa majibu ya pink, meus, mekundu ya njano vipi kwan mwenzenu hz taarifa ndio nimezisikia humu nilikuwa nahita kujua so sio mbaya, ahsante katoto kazuri
 
Back
Top Bottom