Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Mhitimu wa Chuo Kikuu cha Dar-es-Salaama ajirusha kutoka ghorofani na kufa kutokana na kukosa ajira

Utajiajiri vipi kwenye nchi ambayo inaua private sector? Purchasing power very low, money circulation zero, hakuna uwekezaji wowote kwa sasa, taxes very high! Huyu jiwe aombewe tu kwakweli hali so nzuri.
Bado haijustify sababu zake za kujiua. Ni km vile aliamini ni lazima apate ajira. kwani hakuwa akiona wenzake wanaomaliza chuo wanakosa ajira? Ndio maana nikasema alikuwa ana matatizo mengine..yawezekana ya kiakili yakapelekea yeye kujiua.
 
KUNA NYIMBO INASEMA ' U CAN'T GET ALL U WANT ' YAANI AYA MAISHA TUNAWEZA KUSEMA ALIEPEWA KAPEWA, UNAKUTA SOMETIMES UNAKIJISHUGHULI KIDOGO TU BASI FAMILIA NZIMA INAKUANGALIA WW YAANI MPAKA MKE WA KAKA YAANI HASIRA, UTAKUA HUNA ATA AKIBA DADEKIII
 
So sad aiseee....

Hizi damu zitamlilia Jiwe maisha yake yote...

Apumzikekwa amani kijana yatima...
Na bado Mheshimiwa Rais anatwambia watanzania tutembee vifua mbele kwa kuwa we are in the right track!

Hii damu isiyo na hatia inayomwagika itaendelea kumlilia Jiwe kizazi na kizazi!
Kila kitu jiwe! Mbona akili zenu zinakua mgando kiasi icho!
-Nyie ndio mnaongez rahan kwenye hii nchi midom yenu haiishi kumuongea vibaya Raisi.
 
Bado haijustify sababu zake za kujiua. Ni km vile aliamini ni lazima apate ajira. kwani hakuwa akiona wenzake wanaomaliza chuo wanakosa ajira? Ndio maana nikasema alikuwa ana matatizo mengine..yawezekana ya kiakili yakapelekea yeye kujiua.
Kila mtu ana point of no return! Tuangalie sources ya problems
 
Wanaujiua kwaajili ya papuchi nao ni wale wale, upuuzi uliopitiliza, we nijibu tu kimipasho utajua wewe, ukiulizwa umekasirika nini sijui utajibuje? Jiue bas na wewe mkuu
Wanaujiua[emoji735]
Wanaojiua[emoji736]


Shishangai kwanini unafurahia kifo kanakwamba wewe ni Danga la Jehova. Licha ya yote kifo ni siri ya marehemu, by that logic kila mtu ana aina yake ya kifo na siri atabaki nayo yeye.

Ndio maana akizikwa kwa wakristo husema "BWANA ALITOA NA AMETWAA" ... Unaolewa hizo verse maana yake ??


Acha kubinua domo lako wakati hujui hata sekunde yako moja mbele kuhusu kifo chako.
 
Wanaujiua[emoji735]
Wanaojiua[emoji736]


Shishangai kwanini unafurahia kifo kanakwamba wewe ni Danga la Jehova. Licha ya yote kifo ni siri ya marehemu, by that logic kila mtu ana aina yake ya kifo na siri atabaki nayo yeye.

Ndio maana akizikwa kwa wakristo husema "BWANA ALITOA NA AMETWAA" ... Unaolewa hizo verse maana yake ??


Acha kubinua domo lako wakati hujui hata sekunde yako moja mbele kuhusu kifo chako.
Sawa
 
Hujawahi pata stress na depression mkuu... ogopa sanaa hiyo mambo!
Naweza kuwa nimekabili hali ngumu kuliko hata huyo jamaa.

Yani yeye hata hela ya pombe alikuwa nayo..

Na elimu alikuwa nayo... So tumaini pia lilikuwepo.
 
Back
Top Bottom