wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,948
Mama yake alikuwa anapiga vigelegele wakati jiwe anapiga push-ups
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikuwa na matatizo mengine.Mama kuna wengine wanakosa option kabisa. Wengine wanaamua kuwa wanawake tu wapate chochote kitu.
Sema marehemu hakujiongeza. Kusoma sio sababu ya kuajiriwa fani yake. Kuna wenzie saidia fundi hawakosi elfu 10 kwa siku
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Pesa ya pombe alizokuwa analewa ni mtaji tosha.
Ndiko tunakoelekea Tanzania.........Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga kutokana na kukosa ajira tukio liliopelea maandamana ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Ni msongo tu ulompelekea uchiziAlikuwa na matatizo mengine.
Ila isimguse jeska tuNa bado Mheshimiwa Rais anatwambia watanzania tutembee vifua mbele kwa kuwa we are in the right track!
Hii damu isiyo na hatia inayomwagika itaendelea kumlilia Jiwe kizazi na kizazi!
Waweza kumuita hivyo ukipenda, lakini ugumu huu wa maisha alioupata kama yatima (kulingana na maelezo) angeweza kutafuta riziki kwa kuwa jambazi na siku moja akasimamisha gari la mumeo au baba yako na katika purukushani za kumpora akauwawa. Sidhani kama ungemuita mpuuzi kwa dharau hivyo badala ya majina mengine. Tumesema Ukosefu wa ajira ni bomu linalo subiri kulipuka tuuSijui ni kwanini. But nathubutu kumuita mpuuzi.
Hivi ukiwa na degree kama hiyo yake uende wizarani au kampuni yoyote uombe kazi ya kujishkiza mshahara uwaombe laki 3 per month hupati kweli ajira ?Mama kuna wengine wanakosa option kabisa. Wengine wanaamua kuwa wanawake tu wapate chochote kitu.
Sema marehemu hakujiongeza. Kusoma sio sababu ya kuajiriwa fani yake. Kuna wenzie saidia fundi hawakosi elfu 10 kwa siku
Hamna trust me. Yani pakujishikiza ni kwenye vibarua ambako naamini mwanaume hachagui kazi.Hivi ukiwa na degree kama hiyo yake uende wizarani au kampuni yoyote uombe kazi ya kujishkiza mshahara uwaombe laki 3 per month hupati kweli ajira ?
Kuna kampuni ambayo ukiwaomba mshahara hata wa laki 2 na accomodation watakataa ?
Unadhani kwa sababu umekalia uchumi kila mtu ana ajira?Ana matatizo ya akili asisingizie ajira
Mwenye makosa ni jiwe yeye ndie kasababisha dogo afe. Angeacha ufisadi wa matrilioni ya watanzania kwa kisingizio ya midege na mireli hii isingetokea.
Jiwe is to blame if you dont like go and heeng
Chadema toeni tamko. Makamanda tunangoja.Nimemkumbuka marehemu Mohamed Bouazizi(graduate) wa Tunisia aliejua baada ya askari wa Jiji huko Tunisi nchini Tunisia kukamata mali zake alizokuwa anauza kama mmachinga kutokana na kukosa ajira tukio liliopelea maandamana ya kuwang'oa madikteta katika nchi kadhaa za kiarabu kwa kuanza na aliekuwa Raisi wa Tunisia na baadae Mubaraka wa Misri kisha Gaddafi wa Libya.
Jamaa amezingua sana aisee, sitaki kuamini ukoo wao mzima pia hakukua na wa kumsaidia nauli aende huko dar jiwe alipotuambia vijana tukaombe kaziHamna trust me. Yani pakujishikiza ni kwenye vibarua ambako naamini mwanaume hachagui kazi.