D Metakelfin
JF-Expert Member
- Mar 23, 2017
- 3,399
- 3,666
Kwanini wanawajengea wasukuma maghorofa hapo ukingoni ilitakiwa pazibwe RIp kijana mdogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa hiyo kafa..
Watu wa humu uwa hamueleweki.Nafikiri ni kosa kisheria kushea picha ya maiti mtandaoni.
Mimi siyo mtu.Watu wa humu uwa hamueleweki.
Mtu akileta habari bila picha mnamwambia aweke.
Akiweka mnalalamika
Huwa unajisifu kwa akili ambazo huna lakini kuwa na staha ya kawaida tu.. Likes zinaishia jf ila ulichokifanya wala hakitobagua kuwa ID ni fake au real.. Mungu akusamehe lakini
Moja wapo laweza kuwa jawabu sahihi:
1. Kagundua ana tatizo la Nyuzi la Gitaa la ' Dally Kimoko '.
2. Kafumania Demu wake ' Wanamume ' wakifanya yao kwa Kusimamia Ukucha
3. Masela wamemkuta na Demu wa mwenzao kisha wakafanya yao na kwa msaada wa ' Video Shooting '
4. Stress za Maisha ( japo tupo wenye hizo Stress lakini bado tunakomaa tukiamini kuwa ipo Siku tutatoboa tu )
5. Kasababisha Kifo au hasara Kubwa mahala
6. Karogwa
7. Uwendawazimu wa ghafla umempata
R.I.P sana Marehemu.
Habari za siku bushlandOoh no