The Mongolian Savage
JF-Expert Member
- Jul 5, 2018
- 8,082
- 17,838
Wee mgerasi Jiwe a one term president must face trial when his one term ends for the all atrocities he has committed to TanzaniansUna "English" fulani hivi ya kijinga sana,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee mgerasi Jiwe a one term president must face trial when his one term ends for the all atrocities he has committed to TanzaniansUna "English" fulani hivi ya kijinga sana,
Says who?Ujue hata umuombee mazuri haitasaidia huko aendako
Alikuwa amemjibu mtu mwingine, mimi nika'quote kumtetea huyo jamaa aliye'quotiwa' mwenye kiingereza kilichokaa tenge.Mtu anakutusi halafu unamchekea?
FAQ
wewe una "nyapu" ndio maana huoni ugumu wa maisha ..wanaume wameumbiwa mateso
Bora Nyie wanawake mnacho chanzo mnatembea nacho ni swala la Maamuzi tuMaskini. Apumzike kwa amani. Hakuna kitu kinatia mawazo kwa mtoto wa kiume kama akose chanzo cha pesa.
Sijui ni kwanini. But nathubutu kumuita mpuuzi.
Utende midhambi yako ukifa tukuombee uende mbinguni?Says who?
Chupi ulinihonga wewe mkuu? Hlf hata nifulie vipi siwezi tumia tecno kuku wewe.
Marehemu ni mpuuzi akarest in hell..
Siemens C25Unatumia sim gan??
hayaja kukuta weweAna matatizo ya akili asisingizie ajira
Kwa hiyo hizo ibada zinazofanyika za kuombea marehemu ni kazi bure!!?Utende midhambi yako ukifa tukuombee uende mbinguni?
Watu wanalaumu matokeo (kujiua)Computer Science Graduate wa Mlimani kashidwa hata kupata kazi ya kufundisha kwenye hivi vyuo vya Diploma na Certificates? maana vyuo vingi vinahitaji waalimu wa IT; sina uhakika kama hata walimu hawa wameshajaa kote.
Hapa hapo tuseme Bwana ametwaa? Unless kuna sababu nyingine lakini kama ni ya kukosa ajira si uamuzi sahihi.
Ok Ebu Njoo pm mara moja nina ujumbe wakoSiemens C25
Kwa upande wangu naamini ni kazi bureKwa hiyo hizo ibada zinazofanyika za kuombea marehemu ni kazi bure!!?
[emoji23]Ok Ebu Njoo pm mara moja nina ujumbe wako
Hahaha sio wewe tu mkuu. Hata mimi hua niko hivo yani.Ile uliyoitoa niliipenda siyo siri. Yani sijui kwanini mimi hwa nina asscociate members na picha zaidi. Yani nikiona avatar nakumbuka kabisa mchangiaji jina lake. Ile ya Mobutu ameshika kiuno ilikuwa safi sana. Ni kama alikuwa anajiona yuko juu ya kila kitu!lol!
Usinicheke mrembo Nipo serious aise Njoo bana[emoji23]