kantalambaz
JF-Expert Member
- Dec 24, 2017
- 1,878
- 887
Ndiyo maana nimekuambia hivyoKwani lazima ukubali uongo wangu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo maana nimekuambia hivyoKwani lazima ukubali uongo wangu?
Maisha baada ya kufa huenda yakawa machungu kuliko hayaMM MWENYEWE NIKO NJIANI BORA KUFA KULIKO HII LIFE, UTAKUAJE KILA SIKU WW TU
Hii ni habari mbaya sana kwa serikali ya CCM baada ya kushindwa kuajiri kwa miaka 8 sasa....mnataka wasomi waliohitimu wakale wapi? Waingie kwenye siasa? MiCCM ni mijitu ya ajabu sana.Ally (25), mkazi wa Kiloleli wilayani Ilemela jijini hapa anayedaiwa kuwa na elimu ya chuo kikuu, amejirusha katika jengo la la Rocky City Mall na kufariki dunia.
Imeelezwa kuwa Musa alichukua uamuzi huo kutokana na kuwa na msongo wa mawazo, kukosa kazi.
Akizungumza na Mwananchi leo Ijumaa Desemba 21, 2018 kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Mwanza, Advera Bulimba amesema tukio hilo limetokea leo saa saba mchana.
Bulimba amesema kijana huyo alionekana akiwa amelewa kupita kiasi na tangu Desemba 16, 2018 na alikamatwa na kuwekwa kituo cha polisi Kirumba, kilevi kilipopungua aliachiwa.
Amesema katika uchunguzi wa awali marehemu alibainisha kuwa alikuwa na msongo wa mawazo kwa sababu ya kukosa kazi licha ya kuwa na elimu ya juu.
Bulimba amesema baada ya polisi kumuachia alikwenda kunywa tena pombe na baadaye kujirusha kutoka ghorofa ya tatu na kukutwa na pombe kali na ugoro.
“Uchunguzi wa awali umeonyesha kuwa kijana huyo amesema amejiingiza kwenye ulevi na asilaumiwe mtu yeyote.
Amesema amechukua uamuzi huo yeye binafsi, pia akidai yeye ni masikini hana baba wala mama,” amesema Bulimba.
Amesema mwili umehifadhiwa hospitali kwa ajili ya uchunguzi zaidi licha ya kutotaja jina la hospitali hiyo.
Bulimba amesema, maandishi aliyokutwa nayo marehemu yalisomeka kwamba “yeye ana shahada sayansi ya kompyuta aliyoipata Chuo Kikuu cha Dar es salaam (UDSM).”
Chanzo:Mwananchi.
Police wamesomba Picha zimekataa kuupload. Ila nimeattach kwenye comment no 6 na 7.
Moja wapo laweza kuwa jawabu sahihi:
1. Kagundua ana tatizo la Nyuzi la Gitaa la ' Dally Kimoko '.
2. Kafumania Demu wake ' Wanamume ' wakifanya yao kwa Kusimamia Ukucha
3. Masela wamemkuta na Demu wa mwenzao kisha wakafanya yao na kwa msaada wa ' Video Shooting '
4. Stress za Maisha ( japo tupo wenye hizo Stress lakini bado tunakomaa tukiamini kuwa ipo Siku tutatoboa tu )
5. Kasababisha Kifo au hasara Kubwa mahala
6. Karogwa
7. Uwendawazimu wa ghafla umempata
R.I.P sana Marehemu.
Mimi Tumaini Geofrey Temu limbukenitutababanana humuhumu nilisha tibiwa kichaa niwemuachia nyie na raisi wenu,, 2020.. Mrema agustino wariri mkuu Mama Maria Malkia Amitipal Sing Bhogal,,,
Serikali tangu imeingia madarakani imeajiri watumishi 6000's only,ajabu sana yaani on avarage inaajiri watumishi 2000's/year wkt wasomi ni maelfu wanaotoka ma vyuoni huko.Hii ni habari mbaya sana kwa serikali ya CCM baada ya kushindwa kuajiri kwa miaka 8 sasa....mnataka wasomi waliohitimu wakale wapi? Waingie kwenye siasa? MiCCM ni mijitu ya ajabu sana.
2020 October Tunisia haijafika! Pumbavu wewe na mawazo ja kushindwa!HARUFU YA TUNISIA!