Nenda ofisi ya karibu,ukimaliza deni hua bado wanaendelea kukata,Wanaiba hao 😀Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.
Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.
Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!
NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Mataila ndo nini?Nyinyi ni mataila nendeni polisi
Msaidie mkuuMwanasheria nipo hapa.
Naiona fidia ya mamilioni inamsubiri kijana [emoji28].
Achangamke kuja PM atoe instructions kazi ianze mara moja.
Wapeleke mahakama. Hii kesi ni nzuri sana kwako nawatakulipa na fidia na mkopa unaishia hapo hapo.Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Aisee hata mimi Sina mpango wa kulipa. Nimekupa kama mwigulu anavyokula kodi zetu..Na tunakuja huko huko tupo tunaandaa mafaili yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Jiandae kunywa Chai mchana kweupe jua la utosi na kula mpakani mwa mchana na usiku.
Mtandao mrefu ,kuazia bodi husika hadi idarani vyuoni ,bilakesi ya msingi iwaumbue hawakomi HawaWafungulie kesi wajinga hao hizo pesa zimeliwa na watu wao hapo ofisini
Chuo gani hicho mkuuYaani huko kwenye mikopo kuna shida kweli. Hata vyuo vingine hawawapi wanafunzi ile hela yote ya boom wanawafyeka halafu wakati wa kulipa analipa hata ambacho hakutumia yeye
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Upo mkoa gani? Ulishafungua account heslb kuangalia taarifa ya makato?Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.
Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.
Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!
NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Nakuja mkuuWanasheria tupo hamtutumii.
Njoo PM haraka utoe instructions kazi ianze mara moja [emoji28].
Naiona fidia ya mamilioni iko pale inakusubiri kijana [emoji1].
Nipo Songea. Nimejaribu mara kadhaa online,nikifika kwenye index number inagoma kuendelea.Upo mkoa gani? Ulishafungua account heslb kuangalia taarifa ya makato?
Wewee... Unadakwa soon..Mh!,Kumbe BOOM inaleta maumivu ee.
Pole yenu mlioajiliwa Serikalini.
Sisi huku chimbo tunapeta.
Yawezekana mnatulipia sisi tulio nje ya mfumo.
Namshukuru Mungu kwa kutonipa akili ya kuomba AJIRA Serikalini.
Tunakula Bata na mayai yake.
Boom nilikula na hakuna anaenidai.
Serikali Oyeeeeeeeeeeeere.
Kuna mtu katumia cheti chako na akalamba mkopoNaitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.
Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma
Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi
Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?
Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Khahahahahaha,hawana uwezo hao mbwiga jamaa angu niaminiWewee... Unadakwa soon..
Khahahahahahaha,hamtaiweza sekta binafsi mkuu.Na tunakuja huko huko tupo tunaandaa mafaili yenu🤣🤣🤣.
Jiandae kunywa Chai mchana kweupe jua la utosi na kula mpakani mwa mchana na usiku.