Mhitimu wa UDOM adai Bodi ya Mikopo inamlipisha deni la chuo ambacho hajawahi kusoma

Mhitimu wa UDOM adai Bodi ya Mikopo inamlipisha deni la chuo ambacho hajawahi kusoma

Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.

Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.

Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!

NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Nenda ofisi ya karibu,ukimaliza deni hua bado wanaendelea kukata,Wanaiba hao 😀
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Wapeleke mahakama. Hii kesi ni nzuri sana kwako nawatakulipa na fidia na mkopa unaishia hapo hapo.
 
Na tunakuja huko huko tupo tunaandaa mafaili yenu[emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Jiandae kunywa Chai mchana kweupe jua la utosi na kula mpakani mwa mchana na usiku.
Aisee hata mimi Sina mpango wa kulipa. Nimekupa kama mwigulu anavyokula kodi zetu..
 
  • Thanks
Reactions: apk
Yaani huko kwenye mikopo kuna shida kweli. Hata vyuo vingine hawawapi wanafunzi ile hela yote ya boom wanawafyeka halafu wakati wa kulipa analipa hata ambacho hakutumia yeye
Chuo gani hicho mkuu
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.


Kwa nini unaogopa kwenda mahakamani? Ma Tanzania makondoo sana, tafuta ushahidi wa majibu yao kwa kuwa record nenda mahakamani, wa Tanzania mnaelemika kwa ajila kufanya tu kazi, sio kwa ajili yenu.
 
Wadau na Mimi nipo mkoani mbali sana na Dar,tangu mwaka 2016 nakatwa na board kila mwezi.

Yaani sasa ni miaka 7 nakatwa ilihali naamini mkopo ulishaisha.

Naomba msaada mwenye namna ya kujua actually amount yangu nikiwa huku mkoani. Natangulisha shukrani!!

NB- nilisomea procurement and logistics management, first year Mbeya,nikamalizia hapo Kurasini chuo cha TIA.
Upo mkoa gani? Ulishafungua account heslb kuangalia taarifa ya makato?
 
Mh!,Kumbe BOOM inaleta maumivu ee.
Pole yenu mlioajiliwa Serikalini.
Sisi huku chimbo tunapeta.
Yawezekana mnatulipia sisi tulio nje ya mfumo.
Namshukuru Mungu kwa kutonipa akili ya kuomba AJIRA Serikalini.
Tunakula Bata na mayai yake.
Boom nilikula na hakuna anaenidai.
Serikali Oyeeeeeeeeeeeere.
Wewee... Unadakwa soon..
 
Pole sana mkuu .. kipindi hicho pale MUCE kulikuwa kuna muhuni mmoja anaitwa Mushi. Aliiba sana pesa. Hiyo yako imo.

Alitumbuliwa na Magu.

Nenda kama ulivyiambiwa ila utaambulia zungushwa. Kama walivyishauri wadau, dai haki yako mahakamani.
 
Naitwa Richard M. Philemon, Mwaka 2008 baada ya kuhitimu form six, niliomba vyuo mbalimbali kikiwemo UDSM, lakini wakanipanga Mkwawa University College of Education (MUCE Iringa), sikwenda katika chuo hicho kutokana na sababu kadhaa za kifamilia na nilitoa taarifa.
Mwaka mmoja baadaye nikaomba nafasi UDOM nikafanikiwa kupata, nikaomba pia Bodi ya Mikopo ya Wanafunzi wa Elimu ya Juu (HESLB) nikapata na nikaendelea na masomo hadi nilipohitimu Mwaka 2012.

Miaka kadhaa baadaye nilipopata kazi, nikaanza kukatwa mkopo wa chuo, nilipofuatilia nikaona kuna madeni mawili ambayo nayalipa kwa wakati mmoja.
Nikabaini kuwa nalipa mkopo wa MUCE ambao unaonesha nilisoma hapo kuanzia Mwaka 2008 pia nalipa mkopo wa UDOM ambao ndipo hasa niliposoma

Nilipofuatilia Bodi ya Mikopo kuhoji hawanipi majibu ya kueleweka, nikataka wanioneshe huo mkopo waliokuwa wanampa Mwanafunzi wa MUCE Iringa napo hawanioneshi

Bodi wanaishia kusema niende MUCE Iringa, chuo ambacho sijawahi hata kukanyaga, naendaje kwao kuwauliza wakati wao Bodi ya Mikipo ndio ambao walikuwa wanaingiza hela, hawataki kuonesha hizo hela zilikuwa zinaingiwa kwenye akaunti ya nani?
Nimesumbuka na Bodi ya Mikopo kwa zaidi ya mwaka sasa nikifuatilia kuhusu deni hilo lakini sipati msaada wowote, najiuliza kuna Watanzania wangapi ambao wanalipa madeni yasiyokuwa yao kama mimi na hakuna kinachofanywa na mamlaka?

Tena ukienda Bodi kuuliza wanakupa majibu ya ukali kweli, hii ni sawa.
Kuna mtu katumia cheti chako na akalamba mkopo
 
Sasa kama ulitoa taarifa na bado unakatwa kwa nini usiende mahakamani?

Kwa nini Watanzania hatupendi kupelekana mahakamani kutatua migogoro hasa inayohusiana na serikali? Unahisi ukienda kuwashtaki bodi mahakamani utafukuzwa kazi?
 
Wezi hao, hiyo hela wamekula kwa kushirikiana yaani loan board na hai MUCE.
Paza sauti, nenda kwenye media mbali mbali sauti isikike, selikali ikisikia utapata ufumbuzi ili wafiche aibu.

Au nenda mahakamani kabisa.
 
Na tunakuja huko huko tupo tunaandaa mafaili yenu🤣🤣🤣.
Jiandae kunywa Chai mchana kweupe jua la utosi na kula mpakani mwa mchana na usiku.
Khahahahahahaha,hamtaiweza sekta binafsi mkuu.
Wengi tupo sehemu ambayo ni ngumu kutufikia.
Kama niliotea,Bora kufanya sekta binafsi hakuna njaa Kama Serikalini.
Maana,Serikalini mtumishi anauhakika WA kufanya kazi mda mrefu sawa,ila shida anakuwa kwenye maumivu pia ya MDA mrefu.
Pole yao.
 
"Richard M.Philemon " kumbe bodi wanatoaga mikopo hadi kwa wazungu?
 
Back
Top Bottom