Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Kama kweli wewe ni kidume mtaje mkware wako

Nyagei
 
[emoji38][emoji38] huyo mchumba nae hjiewi km yeye ni mchumba wa m2.? wanaume sk zote wakiona utelezi wanateleza tuu hawajali huko mbele watakumbana na nini[emoji2][emoji2] dili na huyo demu tyuu[emoji53].
Uliepewa onyo broh jichungulie[emoji22][emoji85][emoji126][emoji126][emoji126]
 
Duh ,,
 
Sio kwa biti hilo hahhahahahaha watu hawataki mchezo na hivi pesa ilivyokuwa ngumu kuipata halafu watu wanakuja kuchukua miliki za watu ngoja tuanagalie picha litaishia wapi.. Je steringi ata_survive mpka mwisho au ndiyo tusubiri part two
 
Ila sidhan kama huyo mpenzi anafaa kuwa a good future Mama.
Moja ya vipindi alitaka hata ikiwezekana a pretend basi ni kipindi hiki akiwa bado anaitwa Mchumba
 
Gugume ni muhusika Mkuu aisee sina ubishi Juu ya hilo ila sio poa
 
nilishamema mwanzoni ni GuDume tuu huyu, masta umeona sasa povu la mwenye mchumba wake?
Inaonekana anatabia mbaya kwasababu ametajwa na zaidi ya watu watatu hivyo kuna ukweli kabisa na majibu yake kwa mshkaji ni ya dharau sana na kejeli mno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…