Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Mi natoa ONYO: Kuna Member wa Humu JF ana mahusiano na mchumba wangu. Tusije Kulaumiana Bure

Pole sana mdau,

1. It seems that you loves your chick madly (naweza muita chick sababu ya tabia ulizo ziweka wazi no need of apology for this reason )

2. Yes, unamthamini sana ila mdau wa Jf anakuzidi kete na umesema wewe ni serious man all the time (angalia udhaifu wako - wanawake wengi huchoshwa mapema na wanaume sampuli hii ji adjust kidogo)

3. Might be dame wako kapunguza au hana tena upendo na wewe (scenario mbaya sana yaani yupo radhi ku scroll down threads za mdau na kucheka kwa sauti Mpaka una notice furaha yake- she's desperate for something)

4. Kumhudumia mwanamke/mwanaume sio criteria ya ku win love hususan kwa vijana waleo. Unaweza ingia gharama Afu ukashindwa kumpa kitu kidogo tu basi ukapoteza juhudi zako

5. Dame wako yupo desperate ongea nae ujue nini anataka (like alikuambia tujaribu hii kama mdau wa jf basi ujue kuna vitu vingi humpi au haujajaribu kumfanyia might be wild stuff Na ukahofia labda atakuona mhuni au hutaki ku spoil upendo wako ila tambua mwenzako kajitahidi kujiweka wazi)

6. Unaweza mlaumu mdau jf au dame wako pia inawezekana chanzo/ Tatizo ukawa ni wewe mwenyewe

7. Unapo hudumia sehemu kumbuka unafanya investment so iangalie Vizuri hio investment unayoifanya

8. Hii tabia ya kujifanya romantic sana na kushobokea madame za watu ipo sana wadau tuwe makini

9. Hii tabia ya sapiosexual madame wengi muache mnadhalilisha wanaume zenu

10. Pole sana mdau, kuwa makini na huo uliouita uchumba ila kuna jipu kubwa hapo na wewe mdau Mungu anakuona!

Huyo dame wako ajitathmini pia kama anaweza kuishi kwa threads tamu.
 
Na mchumba wako lakini umemchimbia biti!? Maana unaweza ukagombana na mwanaume mwenzako kumbe mchumba wako ndio anawashwa washwa kumchokoza muhuni
 
Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Hayatuhusu. This is your private business. Usitupotezee muda wetu hapa. Tumechoka sasa.
 
Chamsingi we dili tu na mchumba ako maana utadili na wanaume wangapi? Huwezi jua utamfanyia huyo atakuja mwingine sijui utamfanyia tena. Focus na maisha yako kama umeona hiyo haendani na wewe tulia na maisha yako atakuja anayekupenda. Angekua mke umeoa hapo ningekupa ushauri mwingine. Utapoteza tu mda kudeal na wanaume. Mwisho unaweza pata madhara ya kujitakia. Some women are killers and most working with satans to kill the man kind. So watch out.

Sent from my TECNO-J5 using JamiiForums mobile app
 
Mapenzi kuridhiana mazee, mlaumu uyo girlfriend wako huenda akawa hatambui thaman yako so usijitese Kama hajaridhia kuwa na ww huwezi kufanya chochote
 
Muongo mleta thread mara nimemjua mchumba wangu kwa miez mitano hapohapo nilimlipia ada kipindi yupo chuo na kamaliza chuo miaka miwili iliyopita! Arrgggg which is which
Then atamfanya kama alivyomfanya sijui Nani 2015..INA mana yy ndio mwenye tatizo kma taarfa INA ukwel ..ila naona INA UKAKASI SANA
 
Ushauri wangu huyo jamaa muhuni aache kabisa mchezo huo wa kuvuruga ndoa za watu wengine. Mchezo wa kujifanya ni kijoo cha mtaa sio jambo zuri na zaidi ni kwamba mbona kuna akina dada wengine wengi tuu ambao wako free, kwanini asi deal na hao?

Ndugu yangu Chizi Maarifa kwanza pole sana na nakuomba u diclose identity ya huyo muhuni ili tumtafute na tumpe ushauri ili aache huo mchezo wake wa hatari.

Sent from my SHV-E310L using JamiiForums mobile app
 
Nimelazimika kusema hili ingawa najua wengine mnaweza kukebehi na kunidhihaki. Haina shida nimeamua kusema iwe kama angalizo maana kuna siku nitakuja tu kufanya reference. Sisi wengine hatujui sana kuzungumza au kurushiana maneno. Hii naweka tu kama ushahidi ili nikimfanya mtu kama ambacho nilimfanya shababy mmoja mwaka 2015 tusilaumiane.

Mimi nina mchumba ambaye kwa sasa ni mwezi wa 5 nipo naye. Kazi zangu ni za safari safari sana, so kila wakati nakuwa safarini ili niandae mazingira mazuri ya maisha yetu ya ndo hasa ukichukulia ye mchumba wangu amemaliza chuo mwaka wa 2 sasa hana kazi. Yeye ana muda mwingi sana so anakuwa home na sometime mishe mishe zake ila ni muda sasa naona amezoeana na member mmoja humu ndani ambaye amekuwa mara nyingi akiuza sana chai na habari zake za ajabu ajabu. Ni mhuni na baradhuli tu huyo member wala si mtu wa staha hata kidogo mimi ni mtu mstaraabu sana na mpole.

Nilianza kuona kila mara huyo member akianzisha thread huyu mchumba wangu analike na anachangia sana na huwa akisoma anasoma anacheka mpaka machozi yanamtoka muda wote akiwa nami anajisahau anaaanza kusoma threads za huyo jamaa baadaye nikamwambia mi sipendi anavyokuwa occupied sana na huyo jamaa mpaka anajisahau anasema "ila wanaume wengine bwana yaani ukikaa na huyu kaka itakuwa mtu hata stress huana unacheka tu" hilo liliniudhi maana asili yangu mimi ni mtu ambaye nipo serious na sina sana stories hasa za kipuuzi puuzi kama za huyo member humu ndani za ngono na jinsi wanavyotendana na wanawake.

Siku moja kweli ananiambia hebu siku moja nasi tujaribu hii style ya .... nikashangaa katamka jina nikamwambia kwa upole kuwa kwa nini anakuwa obsessed na huyo jamaa mhuni na malaya?" akaniambia "aaah.. Nawe baby una mind vitu vidogo tu mtu mwenyewe hata simjui" juzi juzi hapa akawa ananambia unajua good girls wanapenda sana bad boys..sikutilia maanani lakini nlianza kuona mashaka pale nilipoona anasema anataka aonane na huyo mtuniliingia kwenye inbox texts zake jamiiforums nikakuta anawasiliana naye sana wanacheka wanataniana na sometime wanachat maneno mpaka huyu mchumba anasema ameloana hili lilinikwaza hasa anaposema "wee..naomba nikuone live maana una vituko sana"

Nimeamua kuwa hili suala niliweke wazi huyu dada mimi nlishamhudumia sana chuo mpaka amemaliza ni mimi nlikuwa natoa ada kumwonesha tu kuwa nipo serious pesa za kutoka kwa wazazi wake alikuwa anatumia kufanyia mambo yake na nilimruhusu nikamwambia basi aangalie kama anaweza zifanyia kazi flan ya kuzalisha, she didnt do anything progressive with the money.

Leo hii mwendawazimu mmoja humu ndani anataka kuja kufanya masikhara na mchumba wangu its ok..mi naweza kumwachia ila afaham atarudisha pesa zangu zote nlizotumia kama si direct bas itakuwa indirect najua kwa nini nasema hivi na simtishii...yeye si mwanaume?ajaribu tu kumgusa huyu mchumba wangu kimapenzi atanifahamu kuna post iliwekwa humu kama sikosei mwaka jana..Kuna mtu alifanywa kitu kibaya sana kudandia wake za watu gharama aliyolipa ilikuwa kubwa na mpaka sasa anaendeleakulipa toka mwaka 2015.

Nimetoa tu hili kama angalizo.
Huyo mchumba wako anatumia namba gani tumrushie walau hela ya kujikimu? Inaonekana ni mtamu sana!
 
Wewe huyo huyo unasema umekua na huyo mchumba wako kwa miez mitano na ww huyo huyo unasema umemsomesha kwa miaka miwili mfyuuuu pambana na huba lako
 
sema wewe maana nikisema mimi itaonekana..... sisi wengine bwana .... anyway.. mi namshauri tu amwache huyo mwanamke ili aende kwa ambaye anaweza mlowesha hata kwa maneno. amwache tu salama na hana sababu ya kufikiria kumfanyia huyo jamaa jambo baya... kwa nini amfanyie hivyo? amwache tu ili huyo dada awe analiwa kwa amani kabisa na huyo mshkaji asiyejulikana hapa.
Amuache ili uwe unajinasi eeh? Ndo shida ya kusomesha malaya
 
angalia sana. tena nakwambia angalia sana. we unadhani ni mwanaume sana kuliko wengine. si ndiyo? nakwambia jiangalie watu kunyamaza usituone kama mafala. jiangalie maana utakuja kujilaumu sana hapo baadaye.... we si mbabe? unajua sana mapenzi? unajua kuchat na wanawake? haina shida bro. mi sijui matusi..ila endelea tu . endelea sana tu.
Kumbe ni GuDume! Jiandae kwa busha kilo 50
 
Back
Top Bottom