Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Kweli hali mtaani ngumu yani 50,000 tshs imekufanya uchanganyikiwe.
Nimerudia kusoma mara 3 nikahisi labda ulipewa 50,000,000 tshs.
Aisee nakuombea kwa Mola huyo dada asije kukupatia milioni moja unaweza gongwa na gari kwa kihoro utakachopata.
Kimagu magu iyo ela kubwa sana mkuu
 
Hapa naona waliofanya tafiti na kupata ratio ya 4:1 itabidi warudi kwenye data analysis maana huenda ratio sahihi ni 4:3!
[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji38] ,you made my day. Na leo biashara ilivyo ngumu nimecheka hadi machozi.
 
Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja

Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge la zar pale maeneo ya bunge upande wa pili nilikutana na dada mmoja mkali balaa yaan ni kisu balaa kitu ngoz nyeupe si unajuaga tena sisi kabila letu tunapendaga ngoz nyeupe

Mtoto alikua na vx jeusi kali hatari sikuogopa kumufata nikaomba namba nikapewa jana hiyo hiyo nikapiga mistari kitu kikaingia lain leo asubuhi nimekula mzigo kiulain sana mtoto anafanya kaz ofisi ya bunge ana mshahala mzur tu leo kanitoa 50 ya kula kaenda kazin nami nikarud gheto kulala

Saiv natumiwa msg kila dakika mara kanimis sana mara najua mambo yaan ni balaa tupu naogopa kumupeleka gheto kwangu coz mi nalala chini afu ndo niko naanza maisha

Ukweli ananizid umuri lakin mi sijali nakula vitu vizur na mtoto mzur baadae mkitaka picha nitawatumia

Polen sana masela mimi siyo mwenzenu tena shauri zenu hamunaga hata bahati ya kupendwa
anapokea mshahara mzuri? hahaha pole sana, ana waume wenzio rundo, wabunge, madereva wa wabunge, kila takataka ni za kwake, jiandae kugawana ngoma manake huko serikalini usijeona watu wameulamba, vidudu vimewajaa mwilini. mmepima?mtapima?
 
Na mtu ukimpa mkopo ndiyo mwisho wa kumuona..
hii ninayokupa mwanangu ni hali halisi
ndani ya magu land masela tunavyoishi.


Nimemkumbuka mike T na ngoma yake ya nyalu land aisee
Vyabure vinaua acha asikwambie MTU
We usawa huu upewe Pesa kipuuzi AF uinue miguu juu uchekelee
 
Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja

Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge la zar pale maeneo ya bunge upande wa pili nilikutana na dada mmoja mkali balaa yaan ni kisu balaa kitu ngoz nyeupe si unajuaga tena sisi kabila letu tunapendaga ngoz nyeupe

Mtoto alikua na vx jeusi kali hatari sikuogopa kumufata nikaomba namba nikapewa jana hiyo hiyo nikapiga mistari kitu kikaingia lain leo asubuhi nimekula mzigo kiulain sana mtoto anafanya kaz ofisi ya bunge ana mshahala mzur tu leo kanitoa 50 ya kula kaenda kazin nami nikarud gheto kulala

Saiv natumiwa msg kila dakika mara kanimis sana mara najua mambo yaan ni balaa tupu naogopa kumupeleka gheto kwangu coz mi nalala chini afu ndo niko naanza maisha

Ukweli ananizid umuri lakin mi sijali nakula vitu vizur na mtoto mzur baadae mkitaka picha nitawatumia

Polen sana masela mimi siyo mwenzenu tena shauri zenu hamunaga hata bahati ya kupendwa

Yaani wakati nasoma hii thread nilikuwa nasubiri umalizie kwamba ni ndoto.

Anyway, naona bado uko usingizini bado ukiamka utaimalizia.
 
Back
Top Bottom