Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Mi sio mwenzenu tena kwaherini wote

Ni juzi juzi tu sio siku nyingi nilitoka mwanza kuja dom kuchek mishe si unajua tena life sio kukaa na kukalili sehemu moja

Mambo sio mambo jana yakawa mambo mtoto wa kitaa nimekutana na bonge la zar pale maeneo ya bunge upande wa pili nilikutana na dada mmoja mkali balaa yaan ni kisu balaa kitu ngoz nyeupe si unajuaga tena sisi kabila letu tunapendaga ngoz nyeupe

Mtoto alikua na vx jeusi kali hatari sikuogopa kumufata nikaomba namba nikapewa jana hiyo hiyo nikapiga mistari kitu kikaingia lain leo asubuhi nimekula mzigo kiulain sana mtoto anafanya kaz ofisi ya bunge ana mshahala mzur tu leo kanitoa 50 ya kula kaenda kazin nami nikarud gheto kulala

Saiv natumiwa msg kila dakika mara kanimis sana mara najua mambo yaan ni balaa tupu naogopa kumupeleka gheto kwangu coz mi nalala chini afu ndo niko naanza maisha

Ukweli ananizid umuri lakin mi sijali nakula vitu vizur na mtoto mzur baadae mkitaka picha nitawatumia

Polen sana masela mimi siyo mwenzenu tena shauri zenu hamunaga hata bahati ya kupendwa
Hivi ni aina gani ya bangi anayo itumia mtoa posti! wavutaji wanajua kila bangi na kazi zake! usijali mtoa posti endelea kutupa maendeleo yako! wanaume wa mkoani sijui mkoje?
 
Hivi ni aina gani ya bangi anayo itumia mtoa posti! wavutaji wanajua kila bangi na kazi zake! usijali mtoa posti endelea kutupa maendeleo yako! wanaume wa mkoani sijui mkoje?
Nyie wa dar mmeoma ushoga ndo ndili
 
Bora nipatie ukimwi kwa yule sio kwa videmu ambavyo havina hela na havijui kuoga kutwa vinanuka kwapa
Ww kweli weupe umekuchanganya uko tayari kupata ukimwi kwa sababu ya 50 VP lakn mama yako kipenzi umemfahamisha kuwa umepewa sh 50 ili na yeye akupe ushauli naona wa humu kama vile haukuingia vizuri.
 
Kweli hali mtaani ngumu yani 50,000 tshs imekufanya uchanganyikiwe.
Nimerudia kusoma mara 3 nikahisi labda ulipewa 50,000,000 tshs.
Aisee nakuombea kwa Mola huyo dada asije kukupatia milioni moja unaweza gongwa na gari kwa kihoro utakachopata.

Elmagnifico
 
Yaan hadi huu utawala kuisha . .... tutakuwa wabunifu saana... chuya lazima zijitenge...

Sa ndo nin hiki kaandika..
 
mkuu umekula mzigoo ayaa uyo mama anasambaza vijidudu ameathirika kitambo anategaga wageni tuu na hafanyi kazi bungeni Ohoo maskini nyanyupu
any way uko pande zipi dom
 
Back
Top Bottom