Mia Khalifa afunguka juu ya mapambano katika tasnia ya ponografia: Familia yangu ilinikataa walipogundua

Mia Khalifa afunguka juu ya mapambano katika tasnia ya ponografia: Familia yangu ilinikataa walipogundua

Status
Not open for further replies.
Ila huyo mwanamke itakuwa anajuta na kujisikia vibaya, vilevile nahisi atakua anamkubali sana mshikaji wake kwa vile mshikaji wake kamkubali jinsi alivyo.
Demu anampenda jamaa sana Ni baba watoto wake

Na jamaa anamkubali demu coz pia demu ana make cash kubwa sana kwenye industry za social media

Na jamaa kajambanani so Hana haja kuachia mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uncle kuna watu wanajua kotekote

Anaweza kukutajia chaynne Jacobs

Halafu akakutajia mason mount capability yake uwanjani

Halafu akakulete stori za lijualikali

Mkahamia kwa akina Rey dalio na Mambo ya hedge funds

Then akakulete kwa Elon musk na mission zake eurolink,soaceX,solar City na Tesla akakuchambulia utadhani personal assistant wa Musk

Kisha akakumalizia na jinsi gani Joe Biden ataloose election dhidj ya Trump akakula facts

Halafu akakandamizia na vifungu vya Bible kiasi kwamba kiranga cha ngeda anaokoka kabisa [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji123]

Yaani unakuta hupitwi na kitu



Sent using Jamii Forums mobile app
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 dah sijutii kujiunga jf
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom