Mpaka sasa vifaa vingne bado havijafika eneo la kazi..chukulia mpaka jana fomu za kujaza watu waliolala gesti hazikuwepo? Haya leo utawapataje waliolala jana gesti na mahotelini...? Hii ngoma hawajiandaa kabsaa
Alafu anatokea mpuuzi mmoja anakwambia unahitaji kifaa gani nje ya tablets..?