Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Kuna jamaa kweli aliniibia id yangu akaifanya yake.ID inaibwaje?
Watu wasemao hawapati au hawaingii pm huwa nachukulia kinyume chake
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna jamaa kweli aliniibia id yangu akaifanya yake.ID inaibwaje?
Watu wasemao hawapati au hawaingii pm huwa nachukulia kinyume chake
Hivi we mzee ni muhenga kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Ebu ngoja kwanzaHuyo simuwezi walaa
[emoji1787] Ila kumbuka mimi ni ndugu yako[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Wivu sina ila moyo wangu waumaaa....
Wewe cheka tuu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nani huyooooooKuna mtu kweli nataka kusikia sauti yake dada!!
Hahahaahahha[emoji1787][emoji1787][emoji1787] mdondo wako wa wassap
Ndo keshasema mtaonanaHahhaha ajue kabisa kwamba mimi na wewe hatutaweza kuonana
Hakika ni muhenga huyu MwambaHongera muhenga.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Sasa ukinifungulia uzi dada ananijua nani humu zaidi ya watu kujua I'd ya shunie
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hivi we mzee ni muhenga kweli
Ndo ukome sasaEbu ngoja kwanza
Hivi ukinishindwa wewe nani ataniweza mimi
Hahaha ebu ngoja tuoneNdo keshasema mtaonana
Umenikumbusha Rajon Rondo wa wakati ule. Alikuwa na pasi za hatari, akikupiga hiyo fake sasa utatamani kuomba sub. Nini Imani nawe ulikuwa machachari kama yeye mpaka ukapewa hilo jina.Siku mbili zilizopita RRONDO nimetimiza miaka kumi ndani ya JF. Wengi huwa wanauliza kwanini nimejiita RRONDO ni Rajon Rondo ambae nilikuwa nafananishwa nae kwenye basketball court.
Katika miaka hii 10 sijawahi kupigwa ban na haina maana ni mtakatifu basi tu inatokea. Nimepata marafiki wengi sana,connections za biashara kibao. Kifupi nilipojiunga JF mpaka leo nimepiga hatua.
Kiukweli nilijiunga 2006 au 7 enzi za Jambo Chat kama sijakosea, baadae mhusika mkuu akanishawishi nijiunge forum kwani kuna mijadala mizuri.
Ile ID ya enzi hizo niliiacha kwasababu nilijilipua sana kwasababu ya ujana. Ila Maxence Melo inabidi sasa niwe Platinum member kwani shingapi?
Happy New year everyone
Kivipi yaani mkuu