Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Thats very gud Asprin, kip on tht sprit!
 

inabidi muongowane naye kwenye ulabu
 
i had a good dream last night, kwamba kipengele cha wivu kimeongezwa kwenye sheria mama...

Kwamba infiis wanatakiwa kuwa na wivu au....? :confused2:
 
Ngoja Teamo aje aelezee kilichotokea....ndipo tutajua ni spirit ipi Beauty kaipenda......where is the King?? au bado kalala...
Ngoja na mimi nimsubirie bwana Teamo aje kuguess ni ipi..i'm sure ataguess kininfii tu..!!
 
unakosea sana Fidel, ulimaanisha, nilishaichana au nimeshaichukua? sikuichana niliichoma moto kabisa.

Ayaaaaaaaa kwa hiyo umeingia chama gani sasa? Yawezekana mbado upo singo kwa infii kwako mbado muda wake
 
unakosea sana Fidel, ulimaanisha, nilishaichana au nimeshaichukua? sikuichana niliichoma moto kabisa.

Nimekwambia unapaswa utembee na kadi yako haurusiwi kuiacha nyumbani
 
Asprin kuna katoni mbili za VALUER, katoni mbili za SAFARI WOTA na kreti mbili za PEPSI nitaongea na eliza nione atazifikisha huko namna gani
 
Hongera zako Mkuu! Hiyo GAME si lele mama! Haitestiwi! Iko kama sumu.... Ukiingia no exit! !1O yrs sio MCHEZO! Mungu awabariki sana...
Shukrani kamanda! Nakuombea kwa Mungu nawe uweze kufuata nyazo zangu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…