Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.

Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.

Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)

Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.

Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.

Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.

Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!

Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!

Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:

Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!

:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:
hongera big bro. may God bless you guys
 
hongera big bro. may God bless you guys
Thanx mamaa la carmel. Ucjali, miaka tisa si mingi, ntakuombea nawe ufikie nilipofikia mimi. Ofkoz uwe na heshima, utii na adabu kwa mumeo. Sawa mama? Oke, kawahi kupika mama.
 
Hongera sana brother, ni wanaume wachache wanaweza kusema mambo mazuri kuhusu wake zao. Ila wewe nakupa BIG UP. Kilaji punguza kidog.

WISH YOU ALL THE BEST! URUDI HAPA UKITWAMBIA UNA MIAKA 25 YA NDOA. KEEP IT UP BROTHER
Ahsante sana. Nitazingatia ushauri wako, ila hilo la ulabu, inahitajika sala na maombi ya Yesu mwenyewe. Kina kakobe & co tutawaonea bure.
 
Kwa suala la kutimiza miaka kumi ya ndoa limekubalika sana...basi napendekeza hii thredi iendelezwa hadi siku asprin na mama matesha watakapogonga miongo miwili ya ndoa i.e. mwaka 2020.
 
Bado tunaendelea kukupongeza endelea kuwa mme mwema ...
shikamoo kaka
 
Back
Top Bottom