TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 28,186
- 15,549
ohooooo.. nshahama aisee, tena mwenyeweeWee ntakuhamisha meza!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ohooooo.. nshahama aisee, tena mwenyeweeWee ntakuhamisha meza!
aluu in fact kuna nyingin zinaitwa banana wine and co hizo hazina hata nembo ya TBS....kuna vijana wameshindwa ndoa zao sababu ya hizo pombe.....sasa kwa vile tunaadhimisha miaka 10 ya ndoa ya ODM...please na wanywaji wa hizo watusamehe kwa kweli....
Hahahaha! Ahsante hommie..
Halafu hii rule namba 3 kuna baadhi ya maneno yanahitajika ufafanuzi
KIZURI ni kipi? kuna kizuri A na kizuri B?
NDUGUYO ni nani?
Naomba kuwasilisha mheshimiwa mwenyekiti!
ndio atoke na mama(wifi yangu)...ampe mtoko wa nguvu jamani, 10 yrs sio mchezo kwa dunia ya leo.
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holde, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holde, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
ukizingatia wewe umeshaolewa na kuachika mara nne..............
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holde, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
😛ound:😛ound:ngoja niendelee :typing::typing: maana hiyo explanation hapo nimekusoma vizuri kaka yangu
usikonde mkuu.... wengine bado tuko nyuma ndo kwanza tumegusa sabaACID, TEAMO, ASPRIN, KAIZER, ROYA ROY, FIDEL80, aisee nahitaji zile desa mlizokuwa mnatumia wakati mko chuo kwa kuwa soon najiandaa kuingia kilingeni nahitaji kugonga nyundo kumi + na zaidi kama ASPRIN nafikiri mtanipa muktadha wakati wa hafla ya kumpongeza ASPRIN.
ukizingatia wewe umeshaolewa na kuachika mara nne..............
usikonde mkuu.... wengine bado tuko nyuma ndo kwanza tumegusa saba
unataka praktiko au theory?
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holde, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
he! umetokapi? Mrs wangu kaachika mara 4? mi sijamwacha.....na nimeoa ki2 kipya...sasa huu kama sio ushankupe ni nini?:A S 13:
hehehe!usikonde mkuu.... wengine bado tuko nyuma ndo kwanza tumegusa saba
unataka praktiko au theory?
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holder, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
Thanks kamanda!
Alafu wewe una deni la kulipa!