Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

Miaka 10 ndani ya ndoa: Ahsante sana mke wangu!

hongera mkuu mm yangu inafikisha mwaka 1 mwezi ujao so umeniacha 9 yrs
 
Mkuu hizo ni balaa.... ukinywa hizo ukakua kama key holder, inanyooka ikining'inia tu, ukiisimamisha yenyewe nehi che!!! (sshhhh akina dada wasijue)
Kumbeeee!!
 
mijitu mingine ni ya kuipotezea tu my love.....

baby ndo kama ivo nimeshaipotezea......hapa tupo tunasherekea miaka kumi ya ODM ...kazi ndo hiyo tu....hik hik hik....koh koh...ebu niongezeeni haka kakinywaji leo ni kujirusha tu....
 
hongera mkuu mm yangu inafikisha mwaka 1 mwezi ujao so umeniacha 9 yrs

Ndo maana ushauri wako unakua against infedility....ungemuuliza Asprin mwaka 2000 angesema No to Indelity kama wewe...
 
Hongera sana Asprin pamoja na mai waifu wako, Mungu awazidishie maisha mema na marefu, yalojaa furaha,upendo,amani na matunda yoote ya roho. :amen:
 
Ndo maana ushauri wako unakua against infedility....ungemuuliza Asprin mwaka 2000 angesema No to Indelity kama wewe...

Tatizo Asprin alikuwa ameishaanza kuchukua kozi fupi fupi za INFI kwahiyo bado isingesaidia
 
the sweetest thing you can ever taste... nice, soft and smoooootttthh, all muscles relaxed

Hahahaaa...
Mkuu you just painted this monday white....ilikua very blue...
 
Tarehe kama ya leo miaka kumi iliyopita ndipo nilipoanza maisha na huyu mke wangu.

Siwezi kutamba mi mwaminifu kivile, ila nashukuru sijawahi kufumaniwa wala kuhisiwa.

Sijawahi kumhisi wala kumfumania, kama ananicheat then she must be very smart (mwanachama hai wa ISC? katibu jina lake limokwenye list?)

Sijawahi kumchapa vibao wala kumtukana, pia sijawahi kutukanwa wala kunaswa vibao.

Tumewahi kukosana na kupishana kauli lakini hakuna jirani wala ndugu aliyejua.

Mi si mhudhuriaji mzuri kanisani, lakini watoto kanisani ni kama nyumbani kwao...matunda ya mama yao.

Naweza nisiwaone watoto kwa siku tano (mambo ya ulabu, na kuwahi kudamka asubuhi) lakini watoto wana afya njema na maendeleo yao shuleni ni mazuri sana....ahsante mke wangu!

Na mambo mengi sana anayafanya huyu mama, asingekuwepo sijui kama ningempata kama yeye!

Ahsante sana mke wangu...nakupenda sana....hakuna kama wewe! (Hizi infii ni tamaa za mwili, kudumisha mila na kuitikia wito wa necha, nisamehe bure mama watoto, sina jinsi kuzikwepa):loco::loco::loco:

Vijana nawasihi: Wapendeni wake zenu! Fuateni nyayo zangu Big Brother ODM!

:tea::A S thumbs_up::A S thumbs_up::A S-heart-2::A S-heart-2:

Hongera nyingi kwako Kaka and to Mama Matesha.

Well done:cheer2:
 
Happy Anniversary

anniversary_graphics_05.gif
 
Kadi za mwaliko zinapatikana kaunta ipi? Asprin umeninong'oneza nashindwa kukaa nalo
 
baby ndo kama ivo nimeshaipotezea......hapa tupo tunasherekea miaka kumi ya ODM ...kazi ndo hiyo tu....hik hik hik....koh koh...ebu niongezeeni haka kakinywaji leo ni kujirusha tu....

Tuna rewind Ijumaa
 
Hongera sana mkuu mungu awajalie upendo usiochuja.
 
Miaka kumi ni mwendo mzuri, ikifika ishirini, kama bado mtakuwa na bond nzuri kama hii basi pale ni mwanzo wa new friendship, i.e is like new dating in you!!! Na pale unaendelea kupiga goti kuombea ndoa yenu na ikifika 30 years ni celebration of your life achievements, together!!! Yaani hapa kama ni matatizo ya ndoa inakuwa kama simulizi kabisa, you enjoy, some with grandchildren!!! I love it!! Hongera sana mkuu, bado mwendo upo kaza buti kuimarisha mahusiano yenu!! Ndoa na iheshimiwe na watu wote, Mungu anachukia talaka!!!
 
Back
Top Bottom