Miaka 10 sasa jukwaani

Miaka 10 sasa jukwaani

Na mimi leo nimekubali aisee

Tena yaelekea kuna wengine wala hawana mbwembwe za post nyingi lakini ni hatareeee kwenye kumi na nane flani hivi😀😀😀
Kweli kabisa kaka

Kaka mtu chake aliwai sema hapa jf ina watu wake,, nilifikili sanaaa ila baadae nikakubali huu usemi,
Kumbe nawe ni legendari mkuu? Leo nimeyaona manyota yako aisee ukikaa katika meza moja na malegendari wa JF...salute
Hawa malegendari watupu, maprofeshenali kwenye tasnia

Hakuna namna ila kuwa watazamaji tu hapa
Hahahaha,acheni kunifurahisha bana,tulikua tunakumbuka kdg
 
Kijana enzi zake mwaka mmoja anafanyiwa BD 3 na madem tofauti... Mungu anamuona huyu Mentor Senior Bazaz.. Pamoja na Mwenyekiti wake Nicas Mtei na Mtunza Fedha Kaka Kiiza.. Katibu Mkuu Babu Aspro na Afsa Habari Jiwe Linaloishi huku Katibu Msaidizi Steve..
Kuna na Mazaz wao nao wataanza kutajana hapa wakiongozwa na MALAIKA
Aisee we jamaa umenichekesha sana wallah....

Haka kathread umekafungua kanatuchafua watumishi wa Mungu...

Mi na ndugu yangu Kaizer hatuhusiki na huu ubazazi wenu. Malabuku zenu!
 
Mungu wanguu weeeeeeeee.
Hivi unawajua hao jamaa vizuri.
Babu @Aspirin mwenyewe aliita kideti kikaja kimevaaa kandambili, alivyo falasi badala akampokeee Bebe yake yeye si akaingia chini ya meza na simu akazima. Manina walahi mtoto alikuwa kalowa vumbi miguuuni balaaa. Halafu wewe ndo unaomba wakakukague? Tena leoleo!?
Walaaaaahii hako Kabazazi kadogo ka@mentor hakafai kabisaa.
Umenifananisha na KakaKiiza ye alipoona mchuchu umekuja na kandambili akawahi kaunta, akajificha. Mchuchu ukajua mi ndo Kiiza... nilipotaka kuuonesha Kiiza ni yupi nikakuta njemba ishatimua. Nami nikaenda zangu kukojoa na kutokomea... Mzee Mtambuzi ndo anajua yaliyojiri baada ya hapo. Maana mzee yule hajuagi kuchagua kabisa...

Hapa mnaniharibia tu kwa Mzigua90 wakati nina kideti naye La Stanza weekend hii...
 
Kandambili?? Alimtolea wapi hicho kideti kinachovaa kandambili kwenda kwa mchuchu karne ya 21? Hata ningekua Mimi ningezima simu.
Kumbe hafai eeeh Mentor? Ngoja nijiweke tu aje akague babu mwenyewe
Sio cha kwangu... Ni KakaKiiza aliingia PM kubebisha mkongwe mmoja hivi... Mkongwe alivyotokea ndo nilijua jamaa lina kipaji cha kujificha. Sijui Celica ilipitia wapi maana nlishangaa tu haipo!
 
Back
Top Bottom