Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Dah nimeipenda sana hii waswahili usema maji yakimwagika hayazoleki lkn hapana tunatakiwa tuanguke mpk mavumbini kabisa ili tunyanyuke na kuanza upya.

Maisha hayawezi kunyooka tu hata unayemuona anamafanikio fulani kuna changamoto amezipitia hakuna maisha Yaliyo smoth kwa binadaam yoyote yule

Chamsingi una mikono na miguu na mwenyezi Mungu kakupa afya njema na akiri mafanikio yatakuja tu ukipambana changamoto ni sehem ya maisha kwa mwanaadam yoyote yule
Huwezi kuwa tajiri bila kufilisika kwanza
 
Mimi mtu aliyewekeza kwenye starehe akala ujana hata Kama anateseka anacho cha kufurahisha nafsi yake kwamba enzi zangu.Kuliko umewekeza ili upate zikapotea zote kwenye biashara.
All in all hakuna kuchelewa kwenye maisha
mkuu inaonekana una mapito kwenye uwekezaji, pole sana boss
 
Aisee!

Hela ulioichezea inauma sana. Umenikumbusha mbali sana, naumia sana imeniletea mpaka Insomnia.

Ufahari, Umalaya, Ulevi vimeniletea hasara kubwa sana maishani. Muda niliopoteza sitoweza upata tena. Nilisanuka Ufahari na Pombe nikakatilia mbali. Umalaya nikapunguza kwa 99% hii 1% iliyobaki ni ugonjwa wangi na vitu vifupi vyeupe.

Sina ile hela tena lakini walahu nina amani. Pressure ndogo ndogo tu za kawaida basi.

Bandiko lako limenitonesha aisee
 
Afadhali umestuka mapema ..ni wake up call kwa tulio wengi! Mi naona vitu vya msingi ili tusipotee sana ni kama ifuatavyo:
  1. Kua karibu na Mungu kwa kumaanisha ili atupe hekima na maarifa
  2. Kua na marafiki/ kampani sahihi inayokupa wivu wa kimaendeleo..ukikaa karibu na watu wanaoongea maendeleo inafungua akili
  3. Elimu sahihi ya nidhamu ya pesa mashuleni na majumbani ni muhimu sana
  4. Kabla ya kuchukua mkopo jiuize hata mara mia ..lengo la huo mkopo ni nini, machungu ya kukatwa kila mwezi utayaweza, gap la huo mkopo kwenye salary utalizibaje? nk
  5. Kupata mke mwenye hekima na busara..
  6. Mwisho kabisa familia..hapa namaanisha mke, watoto..hata wategemezi( Hapa lazima akili ikae sawa kwa sababu ya majukumu hasa kwa kuangalia kesho yao maana wote wanakutegemea.
Binafsi hadi nafikisha miaka 4 kazini sikua na chochote kabisa, labda kiwanja tena baada ya kuchukua mkopo crdb na kufanya Masters ya kujisomesha evening class, na salary yangu net ilikua si chini ya 1 m net.

Lakini Mungu alinifumbua macho, nikaanza kujenga baada ya kupata kama 3 m kwa mkupuo..ndani ya miezi sita nikawa nimemaliza kabisa na nimehamia ndani nyumba ikiwa na kila kitu..kitu ambacho hata sikujua nimewezaje maana ilinicost si chini ya milion 60-70 m mpaka kumaliza..ndio kipindi nilipata hela za haraka na sikujua zinatoka wapi...Ndani kipindi hicho nikabariki ndoa maana sikua nimefunga ndoa. Siku zilivyozidi kwenda nikanunua usafiri na mashamba sehemu tofauti.

Atleast vitu vya msingi havisumbui kwa sasa kama kodi nk, mawazo yote ni kuendelea kuinvest hasa kwenye kilimo, mifugo na uongezaji wa thamani mazao au usindikaji. Namshukuru Muumba kwa kweli hasa kwa kunipa mke mwenye hekima.

NB: Bado starehe ndogo ndogo zinaleta usumbufu kiasi kwamba nikiacha, hali yangu ya kifedha itakua stable sana. Naendelea kuomba Mungu aniepushe na hili.
 
Aisee!

Hela ulioichezea inauma sana. Umenikumbusha mbali sana, naumia sana imeniletea mpaka Insomnia.

Ufahari, Umalaya, Ulevi vimeniletea hasara kubwa sana maishani. Muda niliopoteza sitoweza upata tena. Nilisanuka Ufahari na Pombe nikakatilia mbali. Umalaya nikapunguza kwa 99% hii 1% iliyobaki ni ugonjwa wangi na vitu vifupi vyeupe.

Sina ile hela tena lakini walahu nina amani. Pressure ndogo ndogo tu za kawaida basi.

Bandiko lako limenitonesha aisee
boss kuandika hapa kumeniponya, nilikuwa najiona mjinga sana kuyasimulia haya kwa watu, Sasa nimegundua kumbe ni wengi tumepitia hali hii nimepata amani kidogo moyoni japo nilifanya upuuzi miaka mingi iliyopita

Pole sana na wewe boss
 
Afadhali umestuka mapema ..ni wake up call kwa tulio wengi! Mi naona vitu vya msingi ili tusipotee sana ni kama ifuatavyo:
  1. Kua karibu na Mungu kwa kumaanisha ili atupe hekima na maarifa
  2. Kua na marafiki/ kampani sahihi inayokupa wivu wa kimaendeleo..ukikaa karibu na watu wanaoongea maendeleo inafungua akili
  3. Elimu sahihi ya nidhamu ya pesa mashuleni na majumbani ni muhimu sana
  4. Kabla ya kuchukua mkopo jiuize hata mara mia ..lengo la huo mkopo ni nini, machungu ya kukatwa kila mwezi utayaweza, gap la huo mkopo kwenye salary utalizibaje? nk
  5. Kupata mke mwenye hekima na busara..
  6. Mwisho kabisa familia..hapa namaanisha mke, watoto..hata wategemezi( Hapa lazima akili ikae sawa kwa sababu ya majukumu hasa kwa kuangalia kesho yao maana wote wanakutegemea.
Binafsi hadi nafikisha miaka 4 kazini sikua na chochote kabisa, labda kiwanja tena baada ya kuchukua mkopo crdb na kufanya Masters ya kujisomesha evening class, na salary yangu net ilikua si chini ya 1 m net.

Lakini Mungu alinifumbua macho, nikaanza kujenga baada ya kupata kama 3 m kwa mkupuo..ndani ya miezi sita nikawa nimemaliza kabisa na nimehamia ndani nyumba ikiwa na kila kitu..kitu ambacho hata sikujua nimewezaje maana ilinicost si chini ya milion 60-70 m mpaka kumaliza..ndio kipindi nilipata hela za haraka na sikujua zinatoka wapi...Ndani kipindi hicho nikabariki ndoa maana sikua nimefunga ndoa. Siku zilivyozidi kwenda nikanunua usafiri na mashamba sehemu tofauti.

Atleast vitu vya msingi havisumbui kwa sasa kama kodi nk, mawazo yote ni kuendelea kuinvest hasa kwenye kilimo, mifugo na uongezaji wa thamani mazao au usindikaji. Namshukuru Muumba kwa kweli hasa kwa kunipa mke mwenye hekima.

NB: Bado starehe ndogo ndogo zinaleta usumbufu kiasi kwamba nikiacha, hali yangu ya kifedha itakua stable sana. Naendelea kuomba Mungu aniepushe na hili.
Boss hongera sana, hizi ni changamoto tunazopitia
 
sikatai boss inawezekana umri na kutokea shule kulichangia
Yeah,22 yrs ni mdogo mno kukamata noti za kila mwezi plus marupurupu ungezisotea usingezichezea na hata kama ungezichezea basi zingeacha alama mfano nyumba,gari mbovu mashamba,ila kule kutoka tu shule na bado unawaza kuendelea kusoma ajira hii hapa,pesa mingi usingerudi viunzi na upo kwenye right track andiko lako limesaidia weng hasa waajiriwa.

Mkuu kwa sisi(mimi) nimepitia msoto sana katika maisha yangu nimetokea familia ya kimasikini mno yaani basi tu tena ya single mother mwenye 5 kids na mimi nikiwa first born nimeparangana sana kusoma lakini hata kidato cha nne nmekimaliza kwa mateso sana,mazingira yalichangia sana kufeli nikachaguliwa vyuo vya ualimu,utumishi wa umma,afya na ugavi hakuna nilichofanikiwa kujiunga nacho maana hata mia mbovu sikuwa nayo,nikaingia mgodini mwaka na ushee hollah,

Nikaingia kutafuta mali za mjerumani sijui pasi,rupia,n.k hollah

Nikarudi shamba kulima miaka mitatu hollah
Nikabuni mbinu ya kutafuta pesa kwa kutumia taaluma yangu ya kidato cha nne tu,nikaajitolea kufundisha nursery mwaka na nusu,.............

Mpaka muda huu naandika namshukuru sana Mungu,amenithibitishia kwamba akiamua kukupa ridhiki hachagui akupe kupitia ulichokitarajia,........

Nimejenga nyumba nzuri tu ya kuishi,nina shule yangu ya English medium nursery mpaka primary.

Ukinikuta nafundisha hutakaa uamini kama nimeishia kidato cha nne, mimi siyo mkurugenzi mwenye shule mpaka leo hajulikani,kuna mkuu wa shule ndiyo meneja yeye anajua mimi ni mwangalizi tu kuna utawala pia,walimu na wafanyakazi wanalipwa na my Mrs ambaye ndiye mhasibu wa shule na yeye anafahamu kuwa mimi nina asilimia kidogo tu za umiliki kama 25% zilizobaki ni za wafadhili,kumbe ninaown hisa 100%.
Ninafundisha kama mwajiriwa na ninalipwa kama walimu wengine.
Mkuu naomba niishie hapa ila katika maisha kuna mambo mengi watu tunatembea nayo tu.
 
Yeah,22 yrs ni mdogo mno kukamata noti za kila mwezi plus marupurupu ungezisotea usingezichezea na hata kama ungezichezea basi zingeacha alama mfano nyumba,gari mbovu mashamba,ila kule kutoka tu shule na bado unawaza kuendelea kusoma ajira hii hapa,pesa mingi usingerudi viunzi na upo kwenye right track andiko lako limesaidia weng hasa waajiriwa.

Mkuu kwa sisi(mimi) nimepitia msoto sana katika maisha yangu nimetokea familia ya kimasikini mno yaani basi tu tena ya single mother mwenye 5 kids na mimi nikiwa first born nimeparangana sana kusoma lakini hata kidato cha nne nmekimaliza kwa mateso sana,mazingira yalichangia sana kufeli nikachaguliwa vyuo vya ualimu,utumishi wa umma,afya na ugavi hakuna nilichofanikiwa kujiunga nacho maana hata mia mbovu sikuwa nayo,nikaingia mgodini mwaka na ushee hollah,

Nikaingia kutafuta mali za mjerumani sijui pasi,rupia,n.k hollah

Nikarudi shamba kulima miaka mitatu hollah
Nikabuni mbinu ya kutafuta pesa kwa kutumia taaluma yangu ya kidato cha nne tu,nikaajitolea kufundisha nursery mwaka na nusu,.............

Mpaka muda huu naandika namshukuru sana Mungu,amenithibitishia kwamba akiamua kukupa ridhiki hachagui akupe kupitia ulichokitarajia,........

Nimejenga nyumba nzuri tu ya kuishi,nina shule yangu ya English medium nursery mpaka primary.

Ukinikuta nafundisha hutakaa uamini kama nimeishia kidato cha nne, mimi siyo mkurugenzi mwenye shule mpaka leo hajulikani,kuna mkuu wa shule ndiyo meneja yeye anajua mimi ni mwangalizi tu kuna utawala pia,walimu na wafanyakazi wanalipwa na my Mrs ambaye ndiye mhasibu wa shule na yeye anafahamu kuwa mimi nina asilimia kidogo tu za umiliki kama 25% zilizobaki ni za wafadhili,kumbe ninaown hisa 100%.
Ninafundisha kama mwajiriwa na ninalipwa kama walimu wengine.
Mkuu naomba niishie hapa ila katika maisha kuna mambo mengi watu tunatembea nayo tu.
mkuu hongera sana sana sana, story yako imenivutia kidogo siku moja lete hapa ndugu tujifunze
 
na huyu mwanamke cha kushangaza sikuwahi kumpenda hapo mwanzo, na wala hakuwa kwenye mipango yangu ya maisha nilikuwa kama napiga tu kwa kipindi hicho, moyo wangu ulikuwa umetekwa na wasichana wengine kabisa.

mara paap mambo yakawa vice versa ana mimba ikabidi nivute tu ndani, NOW ndio nafahamu huyu ndiye mungu alipanga awe mke wangu. Kama mwanaume bado naenda mechi za nje but namuheshimu sana
Mkuu wanawake tuwaheshim sana, mm niliharibu sana, niliishi ughaibuni nikija likizo naishia kumuita Malaya aje airport, nakula Bata hotelini nyumbani kwangu wiki iishe ndio nakwenda. That was my first chance, sikufanikiwa kujenga mapema, gari sikuwa nayo wala mradi wa maana, pombe na malaya ndio yalikuwa maisha. Shukuru una radhi za wazaz na labda ndio maana Mungu akakupa zawad ya mke. Kuna wenzio hawataman kurudi nyumbani,wake zao ni moto, kero mwanamke hana mapenzi hata mtu anakosa, na mwanamke mwenye roho mby hata shetani ananafuu

Nina mke nanamsifu japo wakiitwa wake warembo labda ajipodoe, ndo atakuwa Bomba, kwangu kwa age yangu ndio mke mrembo sana kwangu, nakumbuka first choice yangu katika list ya kuwaoa hakuwamo, huyu ni namba nne au tano hivi, mwanamke namba moja sikumuoa,mbili pia,tatu sikuwahi kukutana nae, mwanamke niliyenae, ana heshima ,hofu, anaweza kusema nisamehe,juzi alinipigia magoti, tuna 15 yrs kweny ndoa, nampenda japo sitaki kumtamkia, nahofu atakuwa na kicchwa, naendelea kuamini Mungu ndiye kanipa huyu cheupe, tuna watoto, rangi ya gold Kama mimi lkn Siri kubwa Kama Ni umalaya jamani nimefanya Sana, changudoa nimekula Sana. Ohio niulizwe, chuo nimekula classmates wakiwa Ohio,tunakutaniana chuoni

Bora wewe ulikosea mapema, watu wapo 34yr watoto wadoooogo, wengine 40 hawa ndio na presha juu, tiamajitiaji, ujio wa korona, wanahaha wakijua itawaondoa. Kutenda mema ni muhimu katika maisha ya mwanadam kwa kuwa majibu utayashuhudia

Aendelea na biashara zako, kazi usiache viendeshe kwa pamoja. Ni ushauri tu
 
Leo hii nilikua nawaza hadi kichwa kinauma..mimi najutia boom la chuo nililitumia vibaya Kuna sehemu niliambiwa ninunue kiwanja Cha laki 3 tu..nikapuuza..kwa Sasa Hilo eneo linauzwa m 10..kila nikiwaza ujinga huu naumia sana.
Nilipopata kazi yangu..nilikuwa nakaa kwa ndugu kwa mwaka mzima lakini sikutunza hata Mia..(ujinga mwingine nalifanya)

Lakini story yako imefutia hatia kumbe kunawaliofanya makosa kuliko Mimi .
Tujirekebishe tusonge mbele
Boom hujalila Wewe. Na faini unakatwa
 
Back
Top Bottom