Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Ahaaaaaaaa umenikumbusha kuna ticha mmoja rafiki yangu damu amechongoka kama moja,yeye huwa habadilishi nguo anaweza vaa nguo moja hata wiki tatu bila kubadilisha hadi namuhurumia
Soma taratibu uelewe, hivi kuna mwalimu mwenye kuanza kazi akalipwa 840K tena miaka 10 ilopita? Miaka 20+ unakopeshwa 48M na bado unaongeza 15M unafikiri mchezo ?? Acha utani asee walimu wana mishahara midogo mno, huko kushindwa kubadili nguo pengne majukumu mengne tu yamemkaba ila kiukweli walimu hawana pesa ya kufanyia sherehe.
 
Kuna vijana hapa wanakunywa meza jirani yangu na wanawake kama woote halafu nawajua vizuri ni hatari kwa future yao



Walimuuuuuuuuu mnakwama wapiii

Mtoa mada ni dawa kwa wengi

Ningeomba kama kuna mtu anaujua vizuri mfumo wa mikopo aanzishe uzi kuokoa hiki kizazi jamani
Nimekuelewa vzr sana, wewe ni limbukeni sana, Mimi nilianzia sekta ya elimu,lkn siwez kumbeza mwalimu.

Walimu waacheni tu. Sio chuo Wala shule walimu wetu wote Ni sawa. Kubwa zaidi mwl anaendesha biashara nje ya kazi anaeza akawa ananafuu ya maisha

Huu uzi ulianza vzr sana, haukumbagua mwl, engineer,daktar na wengine wangese flan washaanza ufala wao. Mood Uzi umeshavamiwa.
 
Angalau ulifaidi papuchi.. Mie niliingiza 22M kununua gari ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja, nikaishia kuuza screppa Kariakoo.... Huna haja ya kujilaumu.. Mambo yote ni ubatili.
Bora umeitumia mwezi mmoja na kula.mzinga.
Kuna jamaa mmoja anaitwa chidosa dudu kubwa, aliagiza gari huko Japani mtandao wa wahuni
Alivyotransfer fedha, akaamini baada ya mwezi gari inakuja, mpaka sasa gari ipo kwenye home screen yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hutakufa njaa njaa, kwanza umejielewa, pia hujachelewa, safi sana, bado uko umri mzuri wa kubadili mwelekeo, piga kazi baba, weka vibubu, weka mji, usafiri na kabiashara kama utakavyo, mbona mswano tu...
 
Mimi nkmebakiza 4yrs kuukuta umri wako , graduate, sijaajiriwa , nimejiajiri changamoto kubwa ninayokutana nayo nimekuwa tegemezi wa familia djngi alishavuta kitambo maza hana a wala be kipato changu kidogo ninachopata kinaishia kusomesha ndugu na kusaidia familia tu, kuna wakati nashindwa hata kununua assets zangu mwenyewe kutokana na majukumu ya familia maana nimekuwa baba na mama .

Majukumu haya yamenifanya niogope kupiga mimba na kuoa kabisa.

Kutokana na changamoto zote za maisha kuwa tegemezi , ila nashukuru mungu biashara zangu zinakua kias fulani.

Naplan kuoa nitakapofikia umri wako
 
Mimi nkmebakiza 4yrs kuukuta umri wako , graduate, sijaajiriwa , nimejiajiri changamoto kubwa ninayokutana nayo nimekuwa tegemezi wa familia djngi alishavuta kitambo maza hana a wala be kipato changu kidogo ninachopata kinaishia kusomesha ndugu na kusaidia familia tu, kuna wakati nashindwa hata kununua assets zangu mwenyewe kutokana na majukumu ya familia maana nimekuwa baba na mama .

Majukumu haya yamenifanya niogope kupiga mimba na kuoa kabisa.

Kutokana na changamoto zote za maisha kuwa tegemezi , ila nashukuru mungu biashara zangu zinakua kias fulani.

Naplan kuoa nitakapofikia umri wako
Mkuu hongera sana, wapush hao ndugu zako kielimu bila kujali kama watalipa hizo ni baraka tosha.

Ubarikiwe sana boss
 
Pole sana mkuu,zote ni changamoto mbele ya mafanikio
Nilichojifunza hapa
1.mke mwema hatafutwi, bali huwa anakuja pale huna hata wazo
2.Mungu hakupi unachotaka, bali unachostahili

Sent using Jamii Forums mobile app
mke mwema huletwa na bwana, hapo kwenye mahali pakuletewa kuna changamoto,
 
Back
Top Bottom