yaani ukiruhusu kichwa cha chini kichukue nafasi ya kichwa cha juu katika kufikiri basi ndio itakua imekula kwako😃😃😃Ujana ni maji ya moto. Mimi najitahidi kuzikimbia papuchi, maana zinafilisi balaa.
😃😃😃😃nakaziaMkuu kula bata, hapa duniani tunapita kwani unataka kuacha nini?
Hujakosea, kula bata kula bara, kula mpaka kuku waone wivu!!!
😃😃😃😃aiseeAngalau ulifaidi papuchi.. Mie niliingiza 22M kununua gari ikala mzinga ndani ya mwezi mmoja, nikaishia kuuza screppa Kariakoo.... Huna haja ya kujilaumu.. Mambo yote ni ubatili.
😃😃
😄😄😄mamaeeYep! Nilivuta mkopo bank nikaishia kulipia hewa! Wee, watu wa benki waliniendesha kama wamenioa vile!
starehe muhimu aisee 。。 unaachaje papuchi kwa mfano au mmerogwa😃😃 utakwenda kusimulia nini sasa huko uendapo pindi utakapokuwa umekufa... Kinachotakiwa nikubalancemambo yako ingiza pesa nyingi huku unakula bata😃😃Daaah mkuu mimi sina kazi ya maana lakini walau napata kidogo changu, nna maisha kama yako ya zamani Pombe+Nyama+Mademu.
Nmekuwa limbukeni sana wa papuchi yani huniambi kitu. Nafikiri ni stage tuu ambayo wengi tunapitia ila kusanuka ndo inakuwa mtihani mzito yani usanuke uachane na hivi vitu inakuwa too late, kwahiyo nlichojifunza kuweza kuji control uache hizi mambo au mbadala uwe smart sana kuwa na baishara zinazokupa hela ya kufanya starehe.
Sent using Jamii Forums mobile app
😃😃😃 much really blessedAll in all mkuu una bahati sana you get a job with 21 yrs and u paid over 850k,wengine we are approaching 32yrs with no reliable job hata laki 5 it's big deal then unakopeshwa over 45m kwa ajili tu ya ujenz na bado unafanya uhuni, some people are really blessed!
Sent using Jamii Forums mobile app
Ipo Morogoro, ni primary school.Nilisikia ipo ila mimi siijui[emoji3526]
Tubarikiwe sote nduguKwa kuusema ukweli huu ambao ni somo kwa wengi ......Mungu atakuridishia ulivyopoteza ndani ya miaka michache ijayo
HahaRaha ya Dunia dhambi
Kabisa mkuuDah dsgn ka wanaume tunapitia mateso Sana bila ya kujijua hasa ambao tunaajiriwa katika age ya 20s, kuna wakati najifikiria na nahisi ka mi ndo nimekosea Sana ila kwa namna nilivosoma hoja tofauti tofauti za walimwengu wenzangu hapa nahisi hili janga ni la wote hasa kwa sisi tunaokula gambe na tukipataga mikopo ndo uwa tunanunua na pakti za embassy kabisa nyama sana na papuchi daily
Mkuu ikawajeWavaa vitenge vyenye rangi ya blue,kijani,kaki,nyeusi,udongo wanaofunga Buti...Maisha ya kiumeni .....bakabaka niliajiriwa nikiwa mdogo mno nimeona mengi makubwa na yakutisha mno....
Pamoja mkuu, hope na wewe Sasa unakula maisha sehemuSawa mkuu hata mimi nimepita Pale ila Diploma
Wewe jamaa mbiguni huendi😂😂starehe muhimu aisee 。。 unaachaje papuchi kwa mfano au mmerogwa😃😃 utakwenda kusimulia nini sasa huko uendapo pindi utakapokuwa umekufa... Kinachotakiwa nikubalancemambo yako ingiza pesa nyingi huku unakula bata😃😃
ndio ukweli mkuu. ..sinina sikia hata mitume ilikuwa na wake kibao mpaka na masuria. ..sasa wewe wadhani papuchi ni kitu cha mchezo mchezo. ...😃😃😃😃Wewe jamaa mbiguni huendi😂😂
Seriously, hujawahi kuhongwa?🤔Haijawahi tokea na haitaokea😅. Huwa najiuliza inakuaje wanaume wanahonga? Huwa sielewi ni mechanism gani wanayo. Salute kwenu
😄😄Yani wewe unasubiriwa uwe kuni ndugu, peponi utakusikia tu😃😃😃huo
ndio ukweli mkuu. ..sinina sikia hata mitume ilikuwa na wake kibao mpaka na masuria. ..sasa wewe wadhani papuchi ni kitu cha mchezo mchezo. ...😃😃😃😃