copyright
JF-Expert Member
- Oct 9, 2014
- 584
- 584
Dah dsgn ka wanaume tunapitia mateso Sana bila ya kujijua hasa ambao tunaajiriwa katika age ya 20s, kuna wakati najifikiria na nahisi ka mi ndo nimekosea Sana ila kwa namna nilivosoma hoja tofauti tofauti za walimwengu wenzangu hapa nahisi hili janga ni la wote hasa kwa sisi tunaokula gambe na tukipataga mikopo ndo uwa tunanunua na pakti za embassy kabisa nyama sana na papuchi daily