Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

  1. Sikushauri uachane na starehe kama utaweza kupunguza kidogo labda ila usiachee
 
Kuna watu umewasaidia.umeshituka mapema wanzako wanashitukaga wakiwa kwenye around 56yrs hivi ndiyo wagutuka kwamba wanaelekea kustaafu
Mkuu yaani unamaanisha mtu anaweza kula bata zaidi ya miaka 30 na akaja kushtuka karibia na kustaafu?
 
Kujikwaa si kuanguka na hata ukianguka unaweza kuinuka tena. Haya ndiyo maisha,kupanda na kushuka.
 
Mkuu ikawaje
Siri siwezi simulia humu mana wata connect dot nitadakwa tuu ila jua nimeshuhudia mambo yakutisha na ya ajabu mno nikiwa na umri mdogo sana pia nilibahatika kumiliki pesa nyingi nikiwa mdogono sana nashukuru Mungu mwanamke wangu alikuwa na akili mno ila bila uyu dah cjui...
 
Oooh sawa ndugu yangu
 
daah naona watu humu ni story za mishahara wakati mimi ndo bado sina hata pakujishkiza na kuokota angalau visenti...ingawa katika maisha kuna sehemu na mimi nilifanya mistake ingawa nafsi yangu inagoma kabisa kujutia ile mistake na inaniambia nilikua sahihi...but namzigo mzito sana rohoni mwangu,nafsi yangu inauma sana...sometimes najiuliza nilimkosea nini mungu..but thank you jamiiforum kwa kuwa moja ya sehemu ambayo kichwa changu angalau kinajipumzisha
 
Duuuh pole sana mkuu
 
Daaah kaka, Inabidi nikutafte
 
Usikate tamaa Mr. Complex, Mungu ni mwema siku zote na ipo sehemu nzuri yenye neema aliyokuandalia.
Zamu yako itafika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…