Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Mkuu haya mambo ukiyafikiria yanauma sana
 
Kila kitu huja na makusudi yake kiongozi yaani mie nina umri kama wako mwaka wa tano kazini, hakuna jipya.

Nimekaa nimetafakari leo nikajiona msengerema sana, nimeamua kubadilika naacha anasa.
Sahihi kabisa.tuko wengi sema ndo kujifunza.asiyekubali kufel mahala hawez jifunza.
 
Kitu nimegundua. Tuko wengi wa design yako. Ila kustuka mapema ndo jambo LA kumshukuru Mola.

Kitu mpk sasa nimejifunza. Kwa haya maisha ya vijana sisi wa karne hii omba sana upate mke anayejitambua na mwenye malengo na kujua life. Apo ata kama ushakosea kiasi gani bado utakaa sawa kupitia yeye.
 
Kabisa mkuu
 
😅😅, kwasasa hata uchovu huuhisi eeh?
 


Ila wizara ya ajira ingekuwa inawapa semina vijana pale tu wanapoanza kazi kuhusu maswala ya matumizi ya mishahara na posho.

Taasisi kama Bank ABC wanavyosumbua rookies sasa kuchukua mikopo.

Lesson learned!!
 
Mimi nina miaka 5 kasoro miezi 2 katika utumishi wangu. Ninajutia mkopo wangu wa kwanza kufungulia duka. Ila huko nyie mnalipwa vizuri sana, ningekuwa huko kwa hii miaka 5 ningeacha kazi.
Nimejenga nyumba na kununua pikipiki moja tu. Maisha magumu mno kwangu mimi
 
Kuna point imegusa hapa maisha yangu....hakika nafasi ya pili kurekebisha tumepewa..ukichezea hiyo you are finished
 
Pole sana Mkuu. Ni kwamba Biashara ilianguka ama?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…