Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Miaka 10 ya Utumishi: Kumbukizi mbaya ya matumizi ya pesa isiyofutika katika historia ya maisha yangu

Hiyo ndo shule ya maisha kaka,ila kuna vitu vya maana hapo ambavyo nimekusifu,au Mungu amekusaidia
1.Mke mwema,hapo, hujachelewa,mwanamke ana mchango mkubwa kukusaidia ufanikiwe.
2.Umejifunza makosa yako mapema na kujua namna ya kujirekebisha.
Pole ndugu.
 
Wazazi wanatakiwa sana kuangalia vijana wanaoajiriwa katika umri mdogo, ni bora hata kuwaelekeza kwa muda fulani juu ya matumizi ya pesa, saving and all na sio kukuona umeajiriwa basi ushakua mtu mzima wakati kiasi hicho kikubwa cha pesa za kila mara hujawahi kipata. Mwenyewe niliajiriwa at 22 first salary was 925k plus 1million per diem kila baada ya wiki 2 na hivi niliajiriwa mkoani yani kila ijumaa nipo airport naenda nyumbani kuona wazazi na mchumba. Looking back miaka mitano nyuma naona ningekuwa mbali sana tofauti na hapa nilipo leo maana umri unasonga na majukumu yanaongezeka
Duuuh hongera sana.........hivi wenzetu mnaopata ajira mkiwa na 22 years huwa mpo kada ipi wakuu?
 
Duuuh hongera sana.........hivi wenzetu mnaopata ajira mkiwa na 22 years huwa mpo kada ipi wakuu?
Unakuta mtu kamaliza form 4 kapiga Dip miaka 2 au 3 kaingia kazini, hapo labda ni doploma ya famasia afu kalamba bingo MSD au labda ya engineering kaingia TICS ama TPDC...kuna watu life inawanyookea mapema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu ulifaidi ila vyema umesharekebisha uliokosea.
Mimi sina nilichokosea wala kupoteza sijawahi kula bata au kuwa na unafuu wa maisha,Ni mwajiriwa ila kutokana salary haikidhi hadi sasa sina asset yoyote wala biashara majukumu ya familia(mama pamoja na wadogo zangu) yamenibana kiasi kwamba hadi kununua nguo unaona ni dhambi,dogo yupo semester ya mwisho chuo ila hadi saivi naandika hapa sielewi ada anaipataje,kama benk nilishakopa ili niwalipie ada na 1 june anatakiwa chuo, kwa kiasi fulani nashukuru Mungu hata ili naamini atanisimamia litapita tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Boss, pole sana amini mungu ataonesha njia na dogo atasoma.
 
Hiyo ndo shule ya maisha kaka,ila kuna vitu vya maana hapo ambavyo nimekusifu,au Mungu amekusaidia
1.Mke mwema,hapo, hujachelewa,mwanamke ana mchango mkubwa kukusaidia ufanikiwe.
2.Umejifunza makosa yako mapema na kujua namna ya kujirekebisha.
Pole ndugu.
Thanks boss
 
Duuuh hongera sana.........hivi wenzetu mnaopata ajira mkiwa na 22 years huwa mpo kada ipi wakuu?
Boss hapo nyuma nafasi zilikuwa nyingi na baadhi ya kada wataalam walikuwa wachache sana tofauti na mda huu na pia hata Sasa wapo wanaopata katika umri huo wengi tu
 
Unakuta mtu kamaliza form 4 kapiga Dip miaka 2 au 3 kaingia kazini, hapo labda ni doploma ya famasia afu kalamba bingo MSD au labda ya engineering kaingia TICS ama TPDC...kuna watu life inawanyookea mapema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Watu wanachelewa sana shule. Mimi nimemaliza degree tena ya miaka 4 na miaka 23, 24 kazini.
 
Wadada kwenye pesa hawanaga tatizo.

Wao wanajali Sana familia walizotokea,
Ni ngumu Sana kukuta Mdada anatapanya pesa.

Zaidi zaidi itakua kwenye vipodozi na nguo TU.

Kwa maana,
Asilimia kubwa ya wadada hawanywi pombe na wanaokunywa asilimia kubwa Ni zile za ofa tena mara moja moja.

Asilimia kubwa hawahongi, wanahongwa wao.
 
Wadada kwenye pesa hawanaga tatizo.

Wao wanajali Sana familia walizotokea,
Ni ngumu Sana kukuta Mdada anatapanya pesa.

Zaidi zaidi itakua kwenye vipodozi na nguo TU.

Kwa maana,
Asilimia kubwa ya wadada hawanywi pombe na wanaokunywa asilimia kubwa Ni zile za ofa tena mara moja moja.

Asilimia kubwa hawahongi, wanahongwa wao.
Hili nakubaliana na wewe boss, japo wapo wapuuzi wachache pia
 
Back
Top Bottom