Melki Wamatukio
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 6,156
- 10,974
- Thread starter
-
- #21
Mkuu, kwa sisi tuliopitia mafunzo ya kibudha, tahajudi, yoga, ashart, menio, sminla na chandral tunaufahamu ukweli wa mambo. Ukitaka vingi zaidi unatakiwa kuwa na access ya Dark Web. Wengine tumekuwa tukizungumza na mizimu, majini mpaka malaika wa mashetani kwa kiebrania. Upo hapo mkuu!Lacks scientific evidence or verifiable data
Kuna nia ya kumbukumbu ambayo akili yangu imeweka, japokuwa siufikii muafaka. Japo roho yangu inajaribu kunidadavulia fumbo kupitia aulaLRP yako ilifeli ukabaki na kumbukumbu?
Sio tu wa kike, kuna baadhi ya wanyama selective ambao roho yako inaweza kuwa humo. Baadhi yao ni ngamia, nyoka, sokwe, paka, fisi, n.kNa kama ulikua kidume una badili jinsia unakua wa kike.
Nafsi nyingi huzaliwa miaka mia baada tu ya kufa ikiwa 80% ya nafsi hizo hurejea ubinaadamu wa kawaida ukiwa na ujinsia uleule pia ikawezekana ndani ya ukanda ule ule wa maosha yaliyopita. 20% ya nafsi huzaliwa kwenye nafsi tofauti kabisa za wanyama wengineSasa Kama kipindi cha LRP kumbukumbu zote hupotea na mtu Kuzaliwa upya, we umejuaje? Au huyo aliyekwambia alijuaje, bila uwepo wa kumbukumbu?
Ooh yes! utakuwa uko ndotoni; tunashukuru kwa ndoto yako nzuri.
Kumbukumbu itarejea ikiwa tu miaka yako 100 haitakuwa timirifu. Najua ni vigumu kunielewa, ila jitahidi tu. Pitia Replies nilizowajibu wenzioSwali zuri sana, akikujibu unitag[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila 80%, utazaliwa kama binaadamu na mwanamke kutokea ukanda ule ule uliowahi kuishiUnazaliwa upya na nani?
Unajua raha ya mambo haya unaweza andika upuuzi wowote ukakubalika coz no one knows what happens after we die.. tuishi tu we all got one life
kwaiyp ww hapo ni kuwa ulikufa miaka zaidi yà 100 ilopita saiv upo umezaliwa tena?? ujinga ni mzigoNa ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine
Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia
Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Kwa hiyo ongezeko la population linatokana watu kutoroka huko walikolala?Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Ingawa idadi ya binadamu huongezeka, kuna baadhi ya viumbe idadi yao hupungua. Uzao mmoja wa chatu una range mayai 20 hadi 100. Hivi umewahi jiuliza ni kwanini nyoka hawa wasiwe wengi zaidi ulimwenguni, ni issue nzima ya natural selection. Baadhi yao hubeba nafsi za walio wahi kuwa binadamu. Kupotea kwao ni ujio wa binadamu wengi zaidi ambao wamewahi kuishi kablaHivi karibuni katika kila karne idadi ya watu inaongezeka kwa mabilioni. Mantiki rahisi tu inaweka mashaka makubwa sana katika dhana yako.
Ikiwa kama roho ni zile zile zinazozunguka kutoka katika mwili mmoja kwenda kwa mwingine kila baada ya miaka ipatayo 100, basi angalau tungalishuhudia ongezeko angalau dogo kidogo. Lakini kwa kuwa amri kutoka kwa Muumba wa binadamu inatamka kuwa, "Zaaneni na mwende mkaijaze nchi".
Basi ni dhahiri kuwa miili mipya itazaliwa ikiwa na roho mpya ndani yake, ili nafsi zaidi ziishi hapa duniani. Mashaka kuhusu tishio la idadi kubwa ya watu hapa duniani, hilo si shauri la mwanadamu, bali hilo ni shauri la Muumbaji mwenyewe. Wewe tambua uko huru kuzaa watoto wengi kwa kadiri uwezavyo ili kutii amri ya kuujaaza uso wa dunia.
kwaiyp ww hapo ni kuwa ulikufa miaka zaidi yà 100 ilopita saiv upo umezaliwa tena?? ujinga ni mzigo
Simply idadi ya watu isinge ongezekaNa ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine
Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia
Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Nizaliwe marekani huku nilipo nimepachokaNa ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine
Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia
Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP
Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Na zaidi! Na pia kuna wajukuu ambao huwazaa upya bibi ama babu zaoSo unataka kutuambia inawezekana saiz kuna watu tupo nao humu ni second version?