Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

Vipi kuhusu uwepo wa uzazi wa mpango ambao unaenda kinyume na flow ya kuzaliana ya kawaida, je, nao umechangia kuwania baadhi ya wafu wasirudie tena duniani?

Vipi kuhusu mimba zinazotolewa, hao wanaotolewa wangali hawajakamilika nao hutumia miaka hiyo hiyo ili warudi tena duniani, au chap chap huzaliwa kwingineko

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
 
Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine

Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia

Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP

Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Mkuu Mungu alipomuumba Adam na Eva aliumba roho ngapi ambazo mpaka leo hazijawahi kuongezeka wala kupungua?
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa
Hapa kidogo wewe umeweka vizuri, kumbe ilikuwa ni ndoto
 
Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine

Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia

Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP

Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Kama roho ni zile zile, why population inaongezeka?

Hizo roho extra zinatoka wapi?
 
Umesema kuwa kumbukumbu zinafutika. Je, wewe umeweza kukumbukaje kuwa ulikuwepo na ukazaliwa upya? Au watu huzaliwa upya baada ya hicho kipindi? Kuna yeyote aliyekwisha kukusimulia kuhusu maisha yake ya nyuma ili hali umesema kumbukumbu hufutika? Na ni kwa nini ichukue miaka 100 wakati ukifundishwa kitu au hesabu au physics shuleni kabla ya mtihani au CAT umeshasahau kabla hata semester/term kwisha?
Maswali mazuri, ila kama ni kweli kuna baadhi ya kumbukumbu zitakuwa zinabaki...
 
Vipi kuhusu uwepo wa uzazi wa mpango ambao unaenda kinyume na flow ya kuzaliana ya kawaida, je, nao umechangia kuwania baadhi ya wafu wasirudie tena duniani?

Vipi kuhusu mimba zinazotolewa, hao wanaotolewa wangali hawajakamilika nao hutumia miaka hiyo hiyo ili warudi tena duniani, au chap chap huzaliwa kwingineko

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Mkuu na pia vipi hata kuhusu "cloning" na mazagazaga mengine ya kisayansi!?
 
Kwahiyo, hata watoto wachanga wanaopoteza maisha wakiwa wa siku moja, wakirudi tena baada ya miaka 100 watishi kwa siku moja pekee ama zaidi?
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa
Mimi nakumbuka kabla ya maisha yangu ya sasa awali niliishi kwenye jua.
 
Kuna watu wengine wanazaliwa na birth mark , mfano mimi nina kumbukumbu hunijia, nilikuwa miongoni mwa wale waliokufa kwenye vita 1 ya dunia , nilipigwa risasi kwenye shingo, unfortunately hiyo alama ipo hadi leo just around my neck as birth mark
Nimezaliwa nayo

This means my soul ilitransfer some of the genetic DNA into this body I have now

Soul inaweza kuhama na baadhi ya old genetic information

Sad but true

Ndio maana watu kama bush Putin na wengineo ni wale wale tu kama watawala wa zaman
 
Simply idadi ya watu isinge ongezeka

Kuna roho nyingi awaiting kuliko miili

Kimsingi hata hiyo idadi unayosomewa sio actually learn

Hii kitu ina make sense kuliko huko jehanam na peponi kwenu

Eti mtu akifa anaenda moton kuchomwa moto dah [emoji56]
 
Back
Top Bottom