Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

Miaka 100 baada ya kifo chako, utazaliwa kwa mara nyingine ukiwa na mwili mpya

So unataka kutuambia inawezekana saiz kuna watu tupo nao humu ni second version?

Wewe usikuke ni third version

You died before

You were eaten in the forest by lion

Ukafa

Then your soul left the body

Then after 100 you were born in German

You died in a concentration camp , uliwekwa kwenye freezer na Nazi physician wakiwa wanafànya medical experiment ya hypothermie , ukafa

Umezaliwa tena huku TZ this time

This time we don’t know utakufaje, but what we know for sure ni utakufa when your time is due

Huenda ukaenda kuzaliwa swala mbugani, we don’t know
But hata swala hakupenda kuwa swala wawe sehemu ya food chain ya lion
It just happened
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa
Mwandishi kasema inarudi kwa mwanadamu mwingine sio mnyama tofauti. Kwahiyo hapa teyari wewe ushaleta theory ingine ya kuongea na watu , congratulations.
 
Vipi kuhusu uwepo wa uzazi wa mpango ambao unaenda kinyume na flow ya kuzaliana ya kawaida, je, nao umechangia kuwania baadhi ya wafu wasirudie tena duniani?

Vipi kuhusu mimba zinazotolewa, hao wanaotolewa wangali hawajakamilika nao hutumia miaka hiyo hiyo ili warudi tena duniani, au chap chap huzaliwa kwingineko

Sent from my ZTE T1002 using JamiiForums mobile app
Umepiga kwenye mshono, pia je aliyezaliwa siku moja na akafa.
 
Kuna watu wengine wanazaliwa na birth mark , mfano mimi nina kumbukumbu hunijia, nilikuwa miongoni mwa wale waliokufa kwenye vita 1 ya dunia , nilipigwa risasi kwenye shingo, unfortunately hiyo alama ipo hadi leo just around my neck as birth mark
Nimezaliwa nayo

This means my soul ilitransfer some of the genetic DNA into this body I have now

Soul inaweza kuhama na baadhi ya old genetic information

Sad but true

Ndio maana watu kama bush Putin na wengineo ni wale wale tu kama watawala wa zaman
Kaka mtoa mada kasema ni roho ndo zinazaliwa tena sio miili.
 
Kuna watu wengine wanazaliwa na birth mark , mfano mimi nina kumbukumbu hunijia, nilikuwa miongoni mwa wale waliokufa kwenye vita 1 ya dunia , nilipigwa risasi kwenye shingo, unfortunately hiyo alama ipo hadi leo just around my neck as birth mark
Nimezaliwa nayo

This means my soul ilitransfer some of the genetic DNA into this body I have now

Soul inaweza kuhama na baadhi ya old genetic information

Sad but true

Ndio maana watu kama bush Putin na wengineo ni wale wale tu kama watawala wa zaman
Tangu World War I mpaka leo ni miaka 110 so wewe ulirudi before 100 au unapost hapa ukiwa na miaka 10 pekee, alafu pia mtoa mada kasema ni roho sio mwili.
 
Baba yangu aliyefariki 2001 , baada ya kufa kwake tukiwa tunawasiliana kwa ndoto mara kwa mara.

Baada ya miaka 15 ya kifo chake aliniaga kwamba roho yake imewekwa kwenye mnyama fulani hapa sitamtaja.

Na akaaniambia wazi hicho ulichokiandika hapo juu.

Hivyo ni kweli kabisa
Duuuh hii imejirudia
 
Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine

Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia

Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP

Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Kama ndivyo, kwanini difference ya watu wa miaka 1800 na leo ni kubwa sana. Kuna population kubwa sana leo kuliko awali.
Kama roho ni zile zile hazioungui wala kuongezeka tofauti ya ongezeko ingekuwa ndogo sana kati kila miaka 100
 
Unasema roho zilizopo dunia ni hizo hizo haziongezeki? Mbona watu kuna siku walikuwa bilion 5 na sasa ni 7 hizo zingine zinatoka wapi?
 
Na ndivyo ilivyo. Baada ya kifo chako tu, utapotea kwenye uwepo wa huu ulimwengu kwa muda wa miaka 100 baada ya hapo utazaliwa tena kwa mara nyingine

Kipindi cha hiyo miaka 100 ndiyo huitwa LRP ( Life Refractory Period), kipindi hiki kipo kwa lengo la kufuta kumbukumbu zote zilizopo kwenye akili ya roho husika ili kuzuia kumbukumbu kuhama kutoka mwili mmoja kwenda mwili mwingine, japokuwa kwa baadhi ya watu wengine asilimia chache za kumbukumbu uhama kutoka mwili mmoja kwenda mwingine, hapo ndipo hutokea kile tunaita de jávù, au baadhi ya watu kuexperience mambo ambayo hawajawahi kuyapitia

Kumbuka, mwili ni lazima ufe ili kukamilisha kile tunaita Ecological System. Idadi ya roho zilizopo ulimwenguni ni zile zile, hazijawahi kuongezeka ama kupungua, maana rahisi ni kuwa kamwe hautotoweka ulimwenguni mazima, ila tambua kuwa baada tu ya kufa, hauto experience fahamu yoyote, unakuwa sawa na mtu aliyelala usingizi mzito mpaka pale utakapomaliza miaka yako yote 100 ya LRP

Niwatakie maandalizi mema ya vifo na mapokezi mema ya kuzaliwa kwa mara nyingine baada ya miaka 100 baadae
Wewe ulijuaje? Yaani uzaliwe upya uchukue sura ya nani?
 
Hakuna biashara hyo kila mtu ana roho yake.
Na ndio inayohifadhiwa ikitoka.
Hata ukiliwa na mnyama,ukiteketea na moto ukawa majivu.mwili na mifupa ikasambaa isionekane n.k.
Ile roho aliyoipenda mtoa roho ndo wewe.umeshaifadhiwa
 
Back
Top Bottom